Kilimo picha: Huu ugonjwa dawa yake ni nini?

Kilimo picha: Huu ugonjwa dawa yake ni nini?

sinajinasasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
2,988
Reaction score
4,152
Naomba msaada kwa wataalamu wa Kilimo, huu ugonjwa wa inzi kushambulia matunda dawa yake ni nini unaitwaje?

Yaani kila tunda linalotoka hushambuliwa na wadudu kama picha inavyoonesha, nimeona inzi wakizunguka zunguka maeneo ya tunda

Hapo chini ni picha ya tunda la stafeli na mapera yenye hii shida

20190315_181519.jpeg
1552663152247.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nasubiria dawa maana hayo matunda nayapenda Sana ,ila kuna sisimizi ukiweza kuwadhibiti
 
Naomba msaada kwa wataalamu wa Kilimo, huu ugonjwa wa inzi kushambulia matunda dawa yake ni nini unaitwaje?

Yaani kila tunda linalotoka hushambuliwa na wadudu kama picha inavyoonesha, nimeona inzi wakizunguka zunguka maeneo ya tunda

Hapo chini ni picha ya tunda la stafeli na mapera yenye hii shida

View attachment 1046295View attachment 1046296

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu,hao ni wadudu wanaitwa MEALBUGS tumia viuadudu kati ya DuduAll au dudumectin au spidex au bamic..Rudia kila baada ya siku saba hadi waishe shmbani.
 
Back
Top Bottom