zethumb
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 610
- 137
Nimepata eneo ni dimbe/swamp nafikiria kupachimba nifuge samaki
sehemu yenyewe haina mto karibu ila chem chem zake zinachukua muda kukauka baada ya mvua kwisha mwezi may!
naombeni ushauri jinsi gani bora kufanikisha zoezi hili.na je chakula hasa cha samaki ni nini?
niko mkoa wa Lindi wilaya nachingwea..
wataalam tafaadhali...
n
sehemu yenyewe haina mto karibu ila chem chem zake zinachukua muda kukauka baada ya mvua kwisha mwezi may!
naombeni ushauri jinsi gani bora kufanikisha zoezi hili.na je chakula hasa cha samaki ni nini?
niko mkoa wa Lindi wilaya nachingwea..
wataalam tafaadhali...
n