KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 885
- 341
Habari zenu Wajasiriamali!
Leo nimekuja na wazo la kutengeneza muongozo wa mkulima(user guide). Wazo hili limekuja baada ya mimi banafsi kunufaika na maelezo (nondo) yanayotolewa humu kuhusu ujasiriamali kwa ujumla. Lengo kuu ni kutoa summary ya vitu vingi ambavyo vishaelezewa humu na kupunguza maswali ya kujirudua rudia wakati vitu vimeshaelezewa kwenye jukwaa.
Mi natoa mfano(template) na wadau mtachangia mawazo yenu:
Zao:
Mahali linapostawi: jiografia ya sehemu na mifano
Mbegu: Aina za mbegu na gharama zake (au miche)
Kupanda: nafasi kati ya mmea na mmea (spacing)
Palizi: mara ngapi na baada ya mda gani shamba lisafishwe
Mavuno: baada ya mda gani na mara ngapi
Gharama: makadirio ya gharama kwa eka 1 na mchanganua kwa kifupi
Mapato: makadirio ya mapato kwa eka 1
Maelezo ya ziada: maelezo ya kutoa picha halisi ya kilimo cha zao husika, changamoto n.k
Nawakaribisha tujadili:
Useful links:
Biashara ya Miti
Ushauri kilimo na ufugaji
Mtaji 10 Million
Leo nimekuja na wazo la kutengeneza muongozo wa mkulima(user guide). Wazo hili limekuja baada ya mimi banafsi kunufaika na maelezo (nondo) yanayotolewa humu kuhusu ujasiriamali kwa ujumla. Lengo kuu ni kutoa summary ya vitu vingi ambavyo vishaelezewa humu na kupunguza maswali ya kujirudua rudia wakati vitu vimeshaelezewa kwenye jukwaa.
Mi natoa mfano(template) na wadau mtachangia mawazo yenu:
Zao:
Mahali linapostawi: jiografia ya sehemu na mifano
Mbegu: Aina za mbegu na gharama zake (au miche)
Kupanda: nafasi kati ya mmea na mmea (spacing)
Palizi: mara ngapi na baada ya mda gani shamba lisafishwe
Mavuno: baada ya mda gani na mara ngapi
Gharama: makadirio ya gharama kwa eka 1 na mchanganua kwa kifupi
Mapato: makadirio ya mapato kwa eka 1
Maelezo ya ziada: maelezo ya kutoa picha halisi ya kilimo cha zao husika, changamoto n.k
Nawakaribisha tujadili:
Useful links:
Biashara ya Miti
Ushauri kilimo na ufugaji
Mtaji 10 Million