Kilio cha Mawakala wa Pembejeo

Kilio cha Mawakala wa Pembejeo

Ridomil gold

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
2,790
Reaction score
2,232
Kwako waziri Bashe tunakwenda msimu mpya wa kilimo na wa pembejeo na tunaaambiwa mawakal ikifika tarehe 1mwezi wa 7 inabidi kusimama mpaka maelekezo mapya yatakapo toka tena.

Kilio changu mpaka sasa Mawakala hatujalipwa pesa zetu na ukiuliza makampuni wanakumbia hata wao hawajalipwa. Je, tutasubiri mpaka lini na pesa tunazihitaji na mawakala hatuna wa kutusemea endapo tutazulumiwa.

Mkuu Bashe tusaidie tulipwe haki zetu.

ASANTE
 
Safi sana kiongozi umetumia njia sahihi kuwaclisha hoja yako.
Ungetaja mkoa na wilaya husika ingesaidia sana kiutendaji.
Siwezi kuamini kua nchi nzima mawakala wa pembejeo hawajalipwa.
Asante
 
Safi sana kiongozi umetumia njia sahihi kuwaclisha hoja yako.
Ungetaja mkoa na wilaya husika ingesaidia sana kiutendaji.
Siwezi kuamini kua nchi nzima mawakala wa pembejeo hawajalipwa.
Asante
Naweza kusema mawakala almost wote bado hatujalipwa na makampuni nayo hajalipwa na serikari
 
Back
Top Bottom