Kilio cha walimu chasikilizwa na sasa matumbo joto kwa kidato nne

Milestone

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
376
Reaction score
409
Ni furaha ilioje kwa walimu kusikia taarifa ya ajira zao ! Tunawatakia maandalizi mema ! Na kwa wale wa kidato cha nne endeleeni kuwa wapole maana haijulikan siku wala saa necta watakavyowasuprise
 
jamani hayo majina ya waalimu wa ajira mmya tunayapata wapiiii? nimechoka kuyatafuta wa ndugu zangu, yatoeni basi yaliko pliiiiiz
 
heading yako haiendani na content! mm nilifikiri mishahara imepandishwa kumbe ajira tu, watazichoka muda si mrefu!!!
 
WORRY T B MDADA KAMA IPOIPO 2 NJIWA WAKO MANAT YA NN?MAJNA BDO TARAJIA 4RM 8 USKU WIL B ON AIR HATA ME HOT WAITING LYK Uzangu, yatoeni basi yaliko pliiiiiz[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…