Kuna kilio cha wananchi ambao wamelima miwa yao na wameshindwa pa kuuza kwa sababu viwanda navyo vina sukari na wameshindwa wamuuzie nani.
Serikali tumeiweka sisi wananchi madarakani ili ituongoze na kutuletea maendeleo. Sasa nini kauli ya Serikali kuhusu Wakulima ambao wana miwa yao na wameshindwa pa kuuzia?
Serikali tumeiweka sisi wananchi madarakani ili ituongoze na kutuletea maendeleo. Sasa nini kauli ya Serikali kuhusu Wakulima ambao wana miwa yao na wameshindwa pa kuuzia?