Nunua azam ukutane na wenzako fb wakinu'ngunika wanazinguaAzam ndio anajichelewesha tu.
Ashushe bei za ving'amuzi vyake ziwe kama DSTV.
Kisha wengi tuamie kwake. Pia atambue kuwa sio kila mtu ni muislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajua fika nyie ni kampuni pendwa lakini mmekalia ukoloni na unyonyaji kwa Watanzania. Hivi kinachowafanya msiweke local chanels zote za Tanzania ni nini? Kama ITV, CLOUDS, STAR TV n.k mbona hazipo? Nimejaribu kuweka na redio za tanzania tena Nikiwa nimelipia dstv compact Hakuna Redio station hata moja ya kiswahili inayosikilizika kwa nini?
Vifurushi vyenu bei ghali na hakuna pay per view kwanini? Nasikia kwa mataifa kama NIGERIA na mengine ya kusini vifurushi viko chini kuliko tz sasa kwanini mtatunyonya Watanzania?
Nimejipanga kuwatosa hivi karibuni: Nimechoshwa na ukoloni wa kinyonyaji. CARD NUMBER 10133688852
MJIREKEBISHE AU LA SIVYO NGOJA NIULIZIE BEI YA AZAM TV DECORDER!
Nafikiri utakuwa mgeni na Dstv ndomaana unalalamika halafu mpaka una nunua kingamuzi unatakiwa ujue kama kinakufaa kwa mahitaji yako na uwezo wa kulipia
Halafu nakushauri kama unatumia Flat Tv una uwezo wa kupata free channel za bongo zote kwa mfumo wa Analog kikubwa uwe na Antenna yako ww search auto utazipata kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri utakuwa mgeni na Dstv ndomaana unalalamika halafu mpaka una nunua kingamuzi unatakiwa ujue kama kinakufaa kwa mahitaji yako na uwezo wa kulipia
Halafu nakushauri kama unatumia Flat Tv una uwezo wa kupata free channel za bongo zote kwa mfumo wa Analog kikubwa uwe na Antenna yako ww search auto utazipata kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
King'amuzi pia?Netflix ndiyo habari ya mjini
Kuna chanel za bongo pia?Nunua sat receiver uta enjoy kinoma,hakuna kulipia ni free to air...
Cha Startimes mzeiya.King'amuzi pia?
Siuna hama tu mzee baba.Mnajua fika nyie ni kampuni pendwa lakini mmekalia ukoloni na unyonyaji kwa Watanzania. Hivi kinachowafanya msiweke local chanels zote za Tanzania ni nini? Kama ITV, CLOUDS, STAR TV n.k mbona hazipo? Nimejaribu kuweka na redio za tanzania tena Nikiwa nimelipia dstv compact Hakuna Redio station hata moja ya kiswahili inayosikilizika kwa nini?
Vifurushi vyenu bei ghali na hakuna pay per view kwanini? Nasikia kwa mataifa kama NIGERIA na mengine ya kusini vifurushi viko chini kuliko tz sasa kwanini mtatunyonya Watanzania?
Nimejipanga kuwatosa hivi karibuni: Nimechoshwa na ukoloni wa kinyonyaji. CARD NUMBER 10133688852
MJIREKEBISHE AU LA SIVYO NGOJA NIULIZIE BEI YA AZAM TV DECORDER!
Zipo mkuu itv,eatv,capital,na nyingine nyingi za nje . hakuna kulipia..Kuna chanel za bongo pia?
Nitakipata wapi hicho king 'amuzi kisicholipiwa nikinunue niwapelekee watu wangu shamba?Zipo mkuu itv,eatv,capital,na nyingine nyingi za nje . hakuna kulipia..
https://www.jamiiforums.com/threads...jia-ya-kuepuka-visimbusi-vya-kulipia.1022441/Nitakipata wapi hicho king 'amuzi kisicholipiwa nikinunue niwapelekee watu wangu shamba?
Tangu nimehamia dstv miaka 8 iliyopita sijawahi juta.
Local chanel zenyewe ni kuimba na kusifu tu hata pasipo na haja.
Habari za ndani nakunaza nazo hapa jf inatosha. Tena ni habari zisizopikwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Azam ndio anajichelewesha tu.
Ashushe bei za ving'amuzi vyake ziwe kama DSTV.
Kisha wengi tuamie kwake. Pia atambue kuwa sio kila mtu ni muislam
Sent using Jamii Forums mobile app