Kilio changu ni bata

King mkucha

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
89
Reaction score
70
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
 
Fafanua vizuri mkuu wanakufaje?

Unaamka tu asubuhi unakuta wamekufa au wanadonolewa?
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
 
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?

Kidogo ninachojua ni kua vifaranga wa bata hufa kutokana na baridi kali pia joto kali na kubanana
Sehemu nzuri ya kuwalelea nadhani ni nje kama una sehemu unaweza wazungushia wavu wa kuwalinda na mwewe provided hakuna mvua msimu huu
 
mkuu ungeeleza kirefu ungepata majibu ya uhakika ila haya tunakupa kwa hisia tu.
kama unachanganya na kukua kuwa makini maana kuku wakiwadonoa kichwani wanakufa
pia angalia chakula unachowapatia kama kinakiwango kizuri cha proteni,
bata hana magonjwa mengi kwahiyo swala la ugonjwa silipi sehemu kubwa
 
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
yap ni kweli kabisa wafugaji wa bata wengi hawajui sababu ya vifaranga kufa ,sababu sio baridi wala joto,tatizo ni ugonjwa wa virus unaoshambulia sana vifaranga wa bata,vifaranga wa bata huanza kugeuzageuza shingo na kuanguka kisha hufa,kwa bahati mbaya Tanzania hatuna chanjo kwa ugonjwa huu tunategemea miujiza kufuga bata,na huwezi kukuta mfugaji wa bata anabata wengi NEVER kwa sababu ya huu ugonjwa ,labla uagize kenya tena kwa kificho.ukiona vinaanguka vitenge vile vizima
 
1. Watenge yaani wasiwe karibu na dume.

2. Kuna sehemu niliona wanawachanganyia mafuta ya kupikia kwenye maji...nilipouliza walisema ni kwa ajili ya vitovu.

3. Wasiogolee angalau kwa mwezi mmoja.
4......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…