Kilio chetu kimesikika!!!!

chipalila1

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
259
Reaction score
32
NDGU wadau particulary job seekers, kwa habari nlizo zpata hv pnde ni kwamba tume ya sensa imekaribisha maombi kwa walio na kaz na wasio na kaz so ka vp tujarbu bahat zetu
 
wameshawekana hao wanatuzuga tu.
 
ni vizuri kujaribu, ingawa pia wamepunguza vigezo kwa walimu kuwa wenye miaka above 50 hawatakiwi... Usikate tamaa wangu, mi mwenyewe naisubiria kwa ham
 
ni vizuri kujaribu, ingawa
pia wamepunguza vigezo kwa walimu kuwa wenye miaka above 50
hawatakiwi... Usikate tamaa wangu, mi mwenyewe naisubiria kwa
ham

mkuu naomba njuze procedure za ku apply na pia vgezo.
 
hata mimi nahitaji kufahamu,ni wapi naweza kupata maelezo kamili?plz mwenye info
 
hata mimi nahitaji kufahamu,ni wapi naweza kupata maelezo kamili?plz mwenye info

kma vp mtafute mtendaji wako wa kata, mana wao ndo wameanza semina juz jumatatu, then wao ndo watatupa semina makaran, hope atakupa details za kutosha
 
Aliyekwambia sina kazi ni nani wewe kilaza?? kukosa Field kumeshakuaribu kichwa??.......

mbona unapanick kilaza mwenzangu!! Cjaongelea iyo kaz yako nyngne (kama kwel unayo), nazungumzia sensa kilaza square... Hahahaha, eti kukosa field kumeniharibu kichawa! May b ur ryt...!
 
we vipi,asa unataka watu tusijue malipo,na je kama ni jero kwa kutwa niende 2 eti kisa cna kazi?

fight upate chance kwanza ndugu, coz 2ko weng 2naozitaman izo kaz.. Ukishapata then wakakulipa kdgo c unaacha kwan utashkiwa bunduk uendelee!! Kma utaona maslah kdgo endelea kuuza nyago mtaani
 
Unaenda kwa serikal za mtaa, pale ndio wanakupa maelezo, hapa mimi mwenyewe nataka niende nipate habar kamili.
 
Hiyo kazi bila shaka watapewa walimu kutuliza lile vuguvugu lao!!!!
 
mbona nmeskia arusha wafanya training so hz nafac n kanda ipi? anaejua tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…