Hae Mosu
Member
- Dec 23, 2019
- 43
- 33
Habari ya kazi! Pole na majukumu.Mi nina dukuduku ambalo linasumbua watu wengi hasa watu wanaohitaji huduma hasa mafao Ya Uzazi.
Tatizo lililopo ofisini kwako hapo ni kwamba kumekuwa na usumbufu mkubwa kwa watumishi wa umma wanapokuwa wanafuatilia mafao yao hasa ya uzazi kuanzia kwenye upokeaji wa fomu tu wanakuwa wanazungushwa sana na watumishi wako hapo ofisini na hata wanapopokea huwa hawazifanyii kazi.
Mfano; mtumishi aliyejaliwa kujifungua mtoto mwaka jana,2020, mwezi wa tatu,mpaka sasa anakuwa hajapata mafao yake na akipiga simu kunakuwa na ushirikiano hafifu na hata akienda makao makuu ya Kanda, Mwanza kufuatilia kunakuwa ni kupoteza muda kwako taarifa zinakuwa hazijawasilishwa.
Hivyo, nakusihi ulifanyie kazi hasa anza na dawati linalopokea fomu ujue kuna shida gani hapo..
Nikutakie Majukumu mema.
Tatizo lililopo ofisini kwako hapo ni kwamba kumekuwa na usumbufu mkubwa kwa watumishi wa umma wanapokuwa wanafuatilia mafao yao hasa ya uzazi kuanzia kwenye upokeaji wa fomu tu wanakuwa wanazungushwa sana na watumishi wako hapo ofisini na hata wanapopokea huwa hawazifanyii kazi.
Mfano; mtumishi aliyejaliwa kujifungua mtoto mwaka jana,2020, mwezi wa tatu,mpaka sasa anakuwa hajapata mafao yake na akipiga simu kunakuwa na ushirikiano hafifu na hata akienda makao makuu ya Kanda, Mwanza kufuatilia kunakuwa ni kupoteza muda kwako taarifa zinakuwa hazijawasilishwa.
Hivyo, nakusihi ulifanyie kazi hasa anza na dawati linalopokea fomu ujue kuna shida gani hapo..
Nikutakie Majukumu mema.