Kichwa Ze Don
Senior Member
- Jun 7, 2017
- 198
- 321
Vzrhatuji yutubu dogo acha usumbufu
Boss wake kajichora picha ya Magufuli ahahahahahahNgoja kwanza, alishiriki kuipigia kampeni CCM ? š¤øšš¤£
Mkuu, ukipata time pita pmUwa napenda wimbo wake wa rudi ule kabla hata hajajiunga na kings music video kafanya nisher.
Halafu sikuwahi kujua kuwa ndo killy huyu nimejua last week.
Dogo anajua.Uwa napenda wimbo wake wa rudi ule kabla hata hajajiunga na kings music video kafanya nisher.
Halafu sikuwahi kujua kuwa ndo killy huyu nimejua last week.
Unafikiri Dar nzima kuna joto ?Dar es salaam joto, jacket la nini? Wabongo mbona mna visa sana?
Unafikiri Dar nzima kuna joto ?
Mbezi beach, Mbweni ni moja ya sehemu zisizo na joto.Dar es salaam yote joto kali kuanzia January mpaka December.
Huyu tupite naye kama dimondi na zuchu hakuna kuangalia video wala kudanlodi au kustrimuš¤£Boss wake kajichora picha ya Magufuli ahahahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar es salaam yote joto kali kuanzia January mpaka December.
Ahahaha hakuna kitu Kama hikoHuyu tupite naye kama dimondi na zuchu hakuna kuangalia video wala kudanlodi au kustrimuš¤£
Mbezi beach, Mbweni ni moja ya sehemu zisizo na joto.
Hata hivyo maofisini watu wanakaa kwenye viyoyozi kwahiyo baridi inakuwepo.
Unacomplicate mambo, unataka kila mtu aishi km unavojua weweDar es salaam joto, jacket la nini? Wabongo mbona mna visa sana?
Hapo Alikuwa Arusha Aki Shoot Video Yake Ya RoHODar es salaam joto, jacket la nini? Wabongo mbona mna visa sana?
ZuchuHuyu tupite naye kama dimondi na zuchu hakuna kuangalia video wala kudanlodi au kustrimuš¤£