Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Jeshi la polisi limekamata kg 150 zikiwa zimepakizwa na pik pik mbili tofauti
Ingawa mirungi imepatikana kg 150 na pikpik zimekamatwa
Madereva husika wamekimbia (hapa ndipo najiulizaga).
Hawa nsdio tunafikiria watatupa michongo mizima nani kawatuma wanapokea toka wapi namba zao sasa mkatuletea tumekamata mizigo wahusika wamekimbia bado sisi tunataka hao waliokimbia
Hatahivyo pongezi kubwa jeshi la polisi na walioshiriki kukamata huu mzigo maana si mchezo. Hili zoezi liwe endelevu
Ingawa mirungi imepatikana kg 150 na pikpik zimekamatwa
Madereva husika wamekimbia (hapa ndipo najiulizaga).
Hawa nsdio tunafikiria watatupa michongo mizima nani kawatuma wanapokea toka wapi namba zao sasa mkatuletea tumekamata mizigo wahusika wamekimbia bado sisi tunataka hao waliokimbia
Hatahivyo pongezi kubwa jeshi la polisi na walioshiriki kukamata huu mzigo maana si mchezo. Hili zoezi liwe endelevu