kilomiter za gari.

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
wakuu naomba elimu kueleweshwa namna ya kusoma kilomiter,siamini kama gari imeenda kilomiter hizo kwani juzi kwenye screen ya gari y imesoma number 99754 lakini cha kushangaza baada ya 3 days tu ime read 28660 je kiutalamu hapa gari ishaenda kilomita ngapi? na hii gari ni ya abiria inafanya mizunguko hapa hapa mjini dodoma , inakwenda udom kilomiter 18 na kurudi 18 kwa siku inakwenda tripu 4 kwa 8 .je kwa kilomiter hizo kwa muda wa 3days kweli zinaweza kufika? kwani kila nikipiga hesabu haziji.na gari yangu siendeshi mimi nimewajiri mtu .je mnahisi dereva katoka nnje ya dom au mahesabu sawa sawa shukran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia vizuri hiyo dashboard yako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hiyo kubwa ndiyo real km gari imetembea, hizo nyingine jamaa alikuwa napima umbali from point A to B, hilo lipo kwenye dashboard ya gari,
Kupata real km soma ikiwa inasema ADO


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nisubiri kuna Jamaa nikamwite ndo anayajua hayo mambo,usiondoke nisubiri haphapa
 
Kuna wakati watu hureverse km lakini ikishatembea kilometres ikafikia zile waliporeverse inajumlisha na ilizotembea after reversed inakuwa nazo nyinyi hapo ujue waliliverse kabla ya kuuza sasa hizi za kushuka sielewi ngoja wataalamu wakuje wote tupate elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…