StorytellerJr
Member
- Apr 17, 2023
- 40
- 56
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Kati ya hayo maeneo mawili wapi ni pazuri zaidi kumiliki kiwanja cha makazi ukumbuke kiluvya ni mwanzoni kabla hujafika kibaha ukiwa unatoka Dar es Salaam naomba maoni yenu