StorytellerJr
Member
- Apr 17, 2023
- 40
- 56
Mwingine anasema kushotoKiluvya upande wa Kulia ukitoka Dar ndio pazuri
Kiluvya kuna milima mingi haina geographical views nzuri tofauti na kibaha ambapo maeneo mengi pako flat viewKama kichwa kinavyojieleza hapo juu Kati ya hayo maeneo mawili wapi ni pazuri zaidi kumiliki kiwanja cha makazi ukumbuke kiluvya ni mwanzoni kabla hujafika kibaha ukiwa unatoka Dar es Salaam naomba maoni yenu
Sema uko kiluvya mkuu kuna milima mingi bora kibaha sehemu nyingi ni flatKiluvya pa moto sana
Mpaka madukani kote kwa upande wa kushoto kuelekea moro pa motrooo sana shida kwa saza Barbara
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Kati ya hayo maeneo mawili wapi ni pazuri zaidi kumiliki kiwanja cha makazi ukumbuke kiluvya ni mwanzoni kabla hujafika kibaha ukiwa unatoka Dar es Salaam naomba maoni yenu
Kimara ipi mkuu huko kote ni uswahilini nyumba zimebanana kama mabanda ya kukuTafuta pesa mkuu,viwanja vya kumiliki ni kuanzia kimara hadi mbezi beach,huko unapotaka kununua ni bora uje tununue huku Singida mitaa ya gineri
Maana yake ni gharama hapashikikiSo kumbe kiluvya pa moto kuliko kibaha!
Kawaida tu! na mwendokasi inafikaMaana yake ni gharama hapashikiki
Kimara hii hii iliyofurika [emoji1] [emoji1787]Kimara ipi mkuu huko kote ni uswahilini nyumba zimebanana kama mabanda ya kuku
Mwendokasi inafika mzee kiluvya kama nyuyoki [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]Tafuta pesa mkuu,viwanja vya kumiliki ni kuanzia kimara hadi mbezi beach,huko unapotaka kununua ni bora uje tununue huku Singida mitaa ya gineri
Gineri viwanja bei gani, nataka nihamie singida nifaidi watoto wa kinyaturu na kuku wa pale stendi ya zamaniTafuta pesa mkuu,viwanja vya kumiliki ni kuanzia kimara hadi mbezi beach,huko unapotaka kununua ni bora uje tununue huku Singida mitaa ya gineri
Gineri viwanja bei gani, nataka nihamie singida nifaidi watoto wa kinyaturu na kuku wa pale stendi ya zamani
Mwendokasi inafika mzee kiluvya kama nyuyoki [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1]
ukitaka utulivu wa nafsi na roho, kaa pembezoni kwa mji. huko kimara na mbezi jenga kwaajili ya biasharaKimara ipi mkuu huko kote ni uswahilini nyumba zimebanana kama mabanda ya kuku