Marlex Jr El
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 1,819
- 2,415
ndicho kinachofuata, na atataka alipwe fidiaHizi fix tu, njia mojawapo ya huyu mdada kupiga hela, hatembei na jewelry za 20 Billion. Subiri siku si nyingi utasikia kafungua kesi kushitaki hiyo hoteli kwa kutokua na ulinzi wa kutosha.
kwenye sextape yake na ray jSi ndo hapo, wabongo wameranduka asee..
Ile sextape yake haioneshi k yake bana nishaionakwenye sextape yake na ray j
Kanye West anafaidi sana
Mkuu, huo mwili wenyewe ni artificial wote!Kanye West anafaidi sana
Hauna neno, bora awe mtamu[emoji1] [emoji23]Mkuu, huo mwili wenyewe ni artificial wote!
mende wewe!Huyu mama napendea mkiwa wake tu
Mhh, vitu artificial unajua utamu wake ulivyo. Labda kuna jinsi wanavyofanya ili kuongeza radha.Hauna neno, bora awe mtamu[emoji1] [emoji23]
Ngozi na mwili si ule ule, viungo ni vile vile utamu uko pale pale. Labda yeye Kim kama ndo hisia zitapotea baada ya ngozi kukosa hisia na mawasiliano kwenda kwenye ubongo.Mhh, vitu artificial unajua utamu wake ulivyo. Labda kuna jinsi wanavyofanya ili kuongeza radha.
Kuna Italian job na ile ya kihindi jamaa anamtanguliza demu duka la jewerly kisha yeye anakuja kuiba cheni anaificha kwa demu wakeNa kumbuka move moja hivi , wahuni wa kizungu imechezwa kati ya austria na pariiiis
Katika kitu kilichowashinda wanasayansi ni hili la kuongeza radha. Hili suala hawaliwezi na siri inabaki kwa muumba hapo ndipo tunapoweza kutofautisha halisi na ya kuunda. Kwa mfano hebu chukulia mchele wa asili na mchele uliofanyiwa ukarabati ili kuongeza kivuno. Utaona tofauti kubwa sana ya radha. Huyo mdada anavutia lakini huwezi kumfananisha na JLo.Ngozi na mwili si ule ule, viungo ni vile vile utamu uko pale pale. Labda yeye Kim kama ndo hisia zitapotea baada ya ngozi kukosa hisia na mawasiliano kwenda kwenye ubongo.
Sawa mkuuKatika kitu kilichowashinda wanasayansi ni hili la kuongeza radha. Hili suala hawaliwezi na siri inabaki kwa muumba hapo ndipo tunapoweza kutofautisha halisi na ya kuunda. Kwa mfano hebu chukulia mchele wa asili na mchele uliofanyiwa ukarabati ili kuongeza kivuno. Utaona tofauti kubwa sana ya radha. Huyo mdada anavutia lakini huwezi kumfananisha na JLo.
Mkuu tumia miwaniMaandishi Meusi nimeelewa...ila haya ya Blue nadhani mpaka juani
Sijaiona mimi hiyo videoIle sextape yake haioneshi k yake bana nishaiona