Kimani: Vijana wa Gen Z ni Watoto wa Matajiri walikuja kwenye maandamano kwa UBER huku wamebeba Smartphone , Watoto wa Wanyonge Wapuuzeni Gen Z!

Kimani: Vijana wa Gen Z ni Watoto wa Matajiri walikuja kwenye maandamano kwa UBER huku wamebeba Smartphone , Watoto wa Wanyonge Wapuuzeni Gen Z!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote

Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER

Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z

Source: Citizen TV

My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
 
Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote

Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER

Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z

Source: Citizen TV

My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
Kumbe kumiliki smart phone ni utajiri!
 
Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote

Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER

Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z

Source: Citizen TV

My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
Huyo ni kilaza tu yaani kumiliki smartphone ni kipimo cha utajiri !!!
 
Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote

Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER

Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z

Source: Citizen TV

My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
Wewe na huyo mumeo Kimani ni vichaa. Tangu lini kupanda Uber ni utajiri?.
 

Attachments

  • JamiiForums1012362808.jpeg
    JamiiForums1012362808.jpeg
    39.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230918-210933.jpg
    Screenshot_20230918-210933.jpg
    109.2 KB · Views: 8
Viongozi wengi wa Africa baadala ya kuangalia shida ni nini na nini kifanyike kutatua tatizo wao kila siku wako kwenye defensive mode ili vyeo vyao viwe salama.
Unapinga Kodi, serikali ita-finance vipi project mbalimbali?
 
Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote

Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER

Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z

Source: Citizen TV

My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
uvccm mmepata loop kuzuia gen z wa tanzania kuiga wenzao wa kenya. Mnahangaika kuzima moto uliowaka kwa jirani, mnajua huo moto ukiwashwa bavicha nao wataungana na gen z wa tanzania kuwapa za uso walamba asali na machawa wao
 
Unapinga Kodi, serikali ita-finance vipi project mbalimbali?

Kuwaza kulimbikizia Kodi watu wako bila kufikiri nje ya box au kuwa na plan B huo ni ujinga.

Watu hawakatai kulipa Kodi, kinachokatawaliwa ni kumfanya mwananchi ng'ombe wa kumkamua huku hapati msosi.

Unaanzaje kumkamua mwananchi kodi huku matumizi ya Serikali yako juu, wizi umetamalaki kila mahala nk.
Unaanzaje kumkamua Mwananchi Kodi huku vyanzo vya mapato vimejaa kila kona, nchi ina resources ambazo zinahitaji akili kidogo kuzifanya ziwe na faida kwa wananchi?
 
Hiyo kauli ya kusema hakuna kilichobadilika itawaongezea hasira waandamanaji...mdomo uliponza kichwa

Mzaha mzaha..mwisho wake kinawaka kweli
 
Kuwaza kulimbikizia Kodi watu wako bila kufikiri nje ya box au kuwa na plan B huo ni ujinga.

Watu hawakatai kulipa Kodi, kinachokatawaliwa ni kumfanya mwananchi ng'ombe wa kumkamua huku hapati msosi.

Unaanzaje kumkamua mwananchi kodi huku matumizi ya Serikali yako juu, wizi umetamalaki kila mahala nk.
Unaanzaje kumkamua Mwananchi Kodi huku vyanzo vya mapato vimejaa kila kona, nchi ina resources ambazo zinahitaji akili kidogo kuzifanya ziwe na faida kwa wananchi?
Hebu tupe fikra moja nje ya Kodi ambayo serikali inaweza itumia kupata fedha za kujiendesha
 
Back
Top Bottom