Kumbe vyama tawala Afrika vinalingana upumbavu?Bwashee hukubahatika kuangalia hayo maandamano hata mtandaoni mpaka uhadithiwe na mjombako Kimani?
Au tatizo mb bwashee...
Anyway kumbe kumiliki smartphone ni utajiri, basi mimi na wewe tujipongeze tumeshaupiga teke umaskini, tumejituliza zetu uchumi wa kati!.
Hizo ndio akili za Kiongozi wa Walio wengi Bungeni πKumbe vyama tawala Afrika vinalingana upumbavu?
Kimani Anthony Inchung"wa sio,Kiongozi wa Walio wengi Bungeni mh Kimani ameyaponda maandamano ya vijana wa Gen Z na kudai hayajabalisha chochote
Kimani amesema walioandamana siyo Wawakilishi halisi wa wakenya Kwani ni watoto wa Matajiri wenye Uwezo wa kumiliki Smartphone na walikuja kwenye maandamano kwa magari ya kukodi UBER
Kimani ameitaka Jamii ya Maskini na Wanyonge wa Kenya akina Juakali na Mama mboga kuwapuuza Gen Z
Source: Citizen TV
My take; Kumbe Gen Z ni kama Bavicha tu
Ndiye aliyewafitinisha Gachagua na RutoKimani Anthony Inchung"wa sio,
mbunge wa kule kikuyu constituency, ni mjanja lakini pia ni mbish, halafu mjuaji mbaya sana
wasipokaa chini vizuri na yule mbunge mwingine machachari sana wa jimbo la Kiharu ambae pia ndie mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Budget, mh. Ndindi Nyoro wataparuana sasa hivi,Ndiye aliyewafitinisha Gachagua na Ruto
Inadaiwa anatamani Unaibu Rais π