House4Rent KIMARA KOROGWE

House4Rent KIMARA KOROGWE

tricecriss

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
225
Reaction score
59
Habarini wanaJF kwa yeyote anayehitaji nyumba kuna nyumba ipo maeneo ya kimara korogwe dk 5 toka kituo cha mwendokasi aliyepo anatoka mwezi wa 1 tar 10 haina udalali ni chumba,sebule,jiko choo umeme na maji yapo. Hautajuta ni nyumba nzuri aliyepo amehamishwa kikazi mkoani.bei 250000 kwa mwezi malipo ya miezi 6
mwenye uhitaji anipm.
 
Taa
Habarini wanaJF kwa yeyote anayehitaji nyumba kuna nyumba ipo maeneo ya kimara korogwe dk 5 toka kituo cha mwendokasi aliyepo anatoka mwezi wa 1 tar 10 haina udalali ni chumba,sebule,jiko choo umeme na maji yapo. Hautajuta ni nyumba nzuri aliyepo amehamishwa kikazi mkoani.bei 250000 kwa mwezi malipo ya miezi 6
mwenye uhitaji anipm.
Taarifa haijakamilika...una uzuo ?ina parkin?weka contact..?
 
Back
Top Bottom