KERO Kimara maji ya DAWASA yananuka

KERO Kimara maji ya DAWASA yananuka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Habarini.

Zimepita siku kama tano tumekosa maji ya DAWASA huku kwetu, jana usiku yalivoanza kutoka angalau hapa home tumepata ahueni. Kisima ni muhimu kwakweli.

Aisee maji yananuka, sijui huko kwenu, yaan yananuka bila hata kuyanusa, yanatoa harufu flani ivi kama maji ya bahari, ukiingia chooni ukifungulia maji harufu inabadilika kabisa.

Shida itakuwa nn? Ni madawa waliyoweka au mabomba yamechafuka?

Soma Pia: Waziri wa Maji ingilia kati DAWASA, hali ya maji Dar ni mbaya sana
 
Habarini.

Zimepita siku kama tano tumekosa maji ya DAWASCO huku kwetu, jana usiku yalivoanza kutoka angalau hapa home tumepata ahueni.
(kisima ni muhimu kwakweli)

Aisee maji yananuka, sijui huko kwenu, yaan yananuka bila hata kuyanusa, yanatoa harufu flani ivi kama maji ya bahari, ukiingia chooni ukifungulia maji harufu inabadilika kabisa.

Shida itakuwa nn? Ni madawa waliyoweka au mabomba yamechafuka?
Anayetakiwa ayafanye yasinuke sasa yuko zake Kwa Mkapa anagawa Tuzo za Upuuzi Upuuzi badala ya kufanya Kazi.
 
Shule ulifundishwa kutumia maji safi na salama.

Maana yake chemsha maji ama weka dawa.

Sasa na hili la kuchemsha maji unataka serikali ikufanyie?

Halafu hakuna kitu kinaitwa DAWASCO. Hii mamlaka ilishavunjwa na Magu na kubakia DAWASA.
 
Habarini.

Zimepita siku kama tano tumekosa maji ya DAWASCO huku kwetu, jana usiku yalivoanza kutoka angalau hapa home tumepata ahueni.
(kisima ni muhimu kwakweli)

Aisee maji yananuka, sijui huko kwenu, yaan yananuka bila hata kuyanusa, yanatoa harufu flani ivi kama maji ya bahari, ukiingia chooni ukifungulia maji harufu inabadilika kabisa.

Shida itakuwa nn? Ni madawa waliyoweka au mabomba yamechafuka?

Ni wapi huko Mkuu?
 
Siku tano bila ya maji mnaishi vipi katika jiji lisilo na Mito?
 
Watu mna gubu sana aisee,sijui ndio mara ya kwanza kuishi mjini,mie nimezaliwa huko kwenye maji ya Dawasa sasa hivi naishi sehemu maji yanatoka bombani mara mbili kwa Mwaka.Maji ya Dawasa Kama yamekatika ni kawaida sometimes yakirudi yanakuwa na kauchafu,kaharufu au sometimes hata chlorine inaweza kuzidi. Yatakaa sawa tu .
 
Back
Top Bottom