A
Anonymous
Guest
Habari za muda,
Mimi ni mdau kutoka Kimara Temboni Saranga mtaa wa Majeshi, tuna changamoto ya maji kukatika ni wiki ya pili sasa hivi inaelekea na tumesharipoti kwa DAWASA lakini hadi hivi sasa hatuna huduma ya maji inabidi tuende hadi umbali kadhaa kupata maji na imefikia hatua tunanunua maji shilingi 800 kwa ndoo ya lita 20.
Tunaomba msaada kwa hii changamoto tunapata shida sana
Asante.
Wizara ya Maji
Mimi ni mdau kutoka Kimara Temboni Saranga mtaa wa Majeshi, tuna changamoto ya maji kukatika ni wiki ya pili sasa hivi inaelekea na tumesharipoti kwa DAWASA lakini hadi hivi sasa hatuna huduma ya maji inabidi tuende hadi umbali kadhaa kupata maji na imefikia hatua tunanunua maji shilingi 800 kwa ndoo ya lita 20.
Tunaomba msaada kwa hii changamoto tunapata shida sana
Asante.
Wizara ya Maji