Kimataifa Simba ni Majimaji mtupu

Shida ni kuwa mnakele sana

Wiki iliyopita Ahmed ally aliongea redion kuwa Target yao siyo Azam confederation cup ambayo inachezwa na timu ndogo kama kina ihefu

Imagine officer mkubwa anaongea hivyo
Leo anasema wanahitaji kusajili 🤣🤣🤣 team ni ile ile miaka mitatu wanaishia hapo hapo,
 
Tatizo tuko na wapiga makelele kuna vitu unapaswa kuvisema na si kusema kishabiki.

Kama mtu wa michezo huwezi andika kitoto hivyo.

No fact. No issue
Facts mbna Nmetoa ......Simba hawajapiga on target hata moja
 
Bado soka la bongo ni tia maji tia maji na tuna mambo mengi ya kufanya transformation sio kwa simba sio yanga wala mtibwa kiufupi soka la bongo kiujumla linahitaji mabadiliko makubwa ili tufike kule qenzetu walipo
Hakikaa mkuuw

But huja specify transformation ipi
 
Wew mpira hujuwi.., yaani wew ni wale mliopitiwa ukajikuta na wew nimshabiki, kwa anaye juwa mpira huwezi kuwalaum wachezaji wala kocha., NYAMBAFU
 
Wew mpira hujuwi.., yaani wew ni wale mliopitiwa ukajikuta na wew nimshabiki, kwa anaye juwa mpira huwezi kuwalaum wachezaji wala kocha., NYAMBAFU
Sasa nin kimesababisha ...

Mshindwe kutoboa
 
Unaharisha kupitia mdomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…