Chemiker
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 506
- 108
Habari wanajamvi,
Ijumaa iliyopita nikitoka Job mida ya mchana, nilimsikia huyo jamaa akiwa anatoa mistari yenye kibwagizo ..."natuma salamu"...huku Adam Mchomvu akiwa anampa support! kuna baadhi ya mistari haikuwa poa kusikilizwa radioni ila nilishangaa Adamu alipokuwa anamruhusu jamaa aendelee tu...najua kuna wapenzi wa radio clouds hivo kama kuna mtu atakuwa ameikamata ile mistari anaweza kuiandika hapa jamvini kama mods wataruhusu.
Kwa anayemfahamu huyo jamaa naomba atupie picha yake hapa!
Mwisho, presenters wa clouds mjitahidi kuchuja baadhi ya mambo sio kila kitu kinapaswa kuruka hewani! Na waangalie aina ya maswali ya kuuliza. mfano swali kama wewe ni Kabila gani? sio la maana!
Ijumaa iliyopita nikitoka Job mida ya mchana, nilimsikia huyo jamaa akiwa anatoa mistari yenye kibwagizo ..."natuma salamu"...huku Adam Mchomvu akiwa anampa support! kuna baadhi ya mistari haikuwa poa kusikilizwa radioni ila nilishangaa Adamu alipokuwa anamruhusu jamaa aendelee tu...najua kuna wapenzi wa radio clouds hivo kama kuna mtu atakuwa ameikamata ile mistari anaweza kuiandika hapa jamvini kama mods wataruhusu.
Kwa anayemfahamu huyo jamaa naomba atupie picha yake hapa!
Mwisho, presenters wa clouds mjitahidi kuchuja baadhi ya mambo sio kila kitu kinapaswa kuruka hewani! Na waangalie aina ya maswali ya kuuliza. mfano swali kama wewe ni Kabila gani? sio la maana!