MTANZANIA620
Member
- Jun 20, 2023
- 65
- 81
Kutoka,
Sembeti, Marangu.
Kazi ya Ukamilishaji wa ujenzi wa daraja linalounganisha vijiji vya Samanga na Sembeti uliosimama kwa takribani miaka 20 inaendelea baada ya kupata fedha toka mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kiasi cha shilingi milioni 103.5 Kuendelea na kukamilika kwa Mradi huu ni rekodi nyingine ya mafanikio ya Mbunge wa sasa Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ambaye amejitanabaisha kuwa Mbunge wa vitendo zaidi kuliko maneno.
Pongezi za dhati kwa uongozi wa vijiji tajwa, diwani wa kata ya Marangu Mashariki Mhe Jonas Mawala na Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei kwa kuhakikisha fedha zinapatikana na Kazi hiyo inaendelea.
Shukrani za kipekee kwa serikali ya CCM Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipa Jimbo la Vunjo fedha nyingi za miradi ya Maendeleo.
Hakika
#VunjoTumechagua
#CCMTeamMaendeleo
#MaendeleoKwaVitendo
#KaziIendelee
Sembeti, Marangu.
Kazi ya Ukamilishaji wa ujenzi wa daraja linalounganisha vijiji vya Samanga na Sembeti uliosimama kwa takribani miaka 20 inaendelea baada ya kupata fedha toka mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kiasi cha shilingi milioni 103.5 Kuendelea na kukamilika kwa Mradi huu ni rekodi nyingine ya mafanikio ya Mbunge wa sasa Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ambaye amejitanabaisha kuwa Mbunge wa vitendo zaidi kuliko maneno.
Pongezi za dhati kwa uongozi wa vijiji tajwa, diwani wa kata ya Marangu Mashariki Mhe Jonas Mawala na Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei kwa kuhakikisha fedha zinapatikana na Kazi hiyo inaendelea.
Shukrani za kipekee kwa serikali ya CCM Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipa Jimbo la Vunjo fedha nyingi za miradi ya Maendeleo.
Hakika
#VunjoTumechagua
#CCMTeamMaendeleo
#MaendeleoKwaVitendo
#KaziIendelee