KIMENUKA: Ajira EAC Secretariat

KIMENUKA: Ajira EAC Secretariat

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Wakenya wamejiongeza kula bingo hapo Secretariat - Arusha, Wabongo wamebakia wafagizi na madereva (comfortably). Wabunge toka Uganda wamestukia michezo ya wakenya kupiga sarakasi na kuendelea kula mikataba ya maana.
Wawakilishi wa TZ kwenye EALA wapo Ila wametulia jii

Screenshot_2021-10-23-22-24-37-31.png
 
Back
Top Bottom