Ahsante sana mkuuMAKENIKIA............
Mkuu uko sawa...Labda hujamuelewa Mondi, anatafuta kiki tu kajipanga kufanya kitu flani, anajua picha kama hiyo watu mtaiongelea sana, ila wabongo hata kuumiza kichwa kidogo tu mmeshindwa?
Hiyo picha we unaona ni ya ukweli? huoni imefanyiwa manipulation? Au hata hiyo miti hujaiona? Swimming pool inaweza kukaa eneo la namna hiyo kweli? Ndani ya swimming pool unaona vizuri kweli mwili wa Zari? Photoshop tu isikuume moyo.
Sasa turudi kwenye makenikia ndo story ya mjini sasa hivi, mambo ya celebrities na mapenzi yao ni useless kwa watu wengine.
Hiyo swimming pool ipo na sio mara moja Zari anaenda kuogelea na jana katika snapchat yake alikuwa na mwanae wa kiume Raphael wanaogelea sio editing kabisa ingawa najua wanatafuta kiki hao.Labda hujamuelewa Mondi, anatafuta kiki tu kajipanga kufanya kitu flani, anajua picha kama hiyo watu mtaiongelea sana, ila wabongo hata kuumiza kichwa kidogo tu mmeshindwa?
Hiyo picha we unaona ni ya ukweli? huoni imefanyiwa manipulation? Au hata hiyo miti hujaiona? Swimming pool inaweza kukaa eneo la namna hiyo kweli? Ndani ya swimming pool unaona vizuri kweli mwili wa Zari? Photoshop tu isikuume moyo.
Sasa turudi kwenye makenikia ndo story ya mjini sasa hivi, mambo ya celebrities na mapenzi yao ni useless kwa watu wengine.
Huhuuuuuuu kama ni kweli na sio kick kama kawaida ya Diamond nitafanya sherehe.
Ni muda sasa namfuatilia Diamond ktk page yake ya Insta naona kafuta posts mbalimbali zinazomhusu Zari (Kifo cha Ivan),ila sijajua kama angefikia hapa.
Tusubiri na tuone...
Naombeaje kuhusu Misa baby iwe kweli sasa jamani? Uwiiiiiiiii
Haki siwezi kusubiri kumuona Hamisa ndani ya madale.