Napitwaje sasa?Hii ndio raha ya kuishi mujini (umbea).
Kijijini kulima tu
Hivi ni umekosea au umeamua tu kututilia shubiri kwenye ubuyu wetu?Chadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.
Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.
Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.
Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.
Mfano wa kauli za Lowassa;
1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Na nyingine nyingi zenye utata!
Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??
Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
Shoga nilikuwa huko insta nimecheka na kusikitika.
Kwanza nimecheka kuhusu hii picha , pili nimesikitika video ya kikubwa ya Zari kuwekwa Insta na watoto wake wote wameitwa waone mambo ya faragha ya mama yao.
Hii ndio faida ya mijimama mizima kufanya ligi za kipuuzi wakati wana watoto wakubwa walioko Instagram.
Kwan anavyogongwa ameolewa na nani?hiyo ya kuchungulia kwa wife zuga tu na ww wale wale alaf kwa nini wote mnaona aibu kusema ni wafuasi wake mnazuga kwamba na nyiny hamumpendi Miss Tz nadhan dhamira zinawasuta kwamba mnamshabikia mtu bogus.........hivi wema azae, kaolewa na nani !??? ... daah watu bhana !
Kwan anavyogongwa ameolewa na nani?hiyo ya kuchungulia kwa wife zuga tu na ww wale wale alaf kwa nini wote mnaona aibu kusema ni wafuasi wake mnazuga kwamba na nyiny hamumpendi Miss Tz nadhan dhamira zinawasuta kwamba mnamshabikia mtu bogus.........hivi wema azae, kaolewa na nani !??? ... daah watu bhana !
sihitaji kuwa shabiki wa yeyote, ukweli ni kuwa nashangazwa sana na tabia za Kariakoo za Zari .....! with such exposure !Kwan anavyogongwa ameolewa na nani?hiyo ya kuchungulia kwa wife zuga tu na ww wale wale alaf kwa nini wote mnaona aibu kusema ni wafuasi wake mnazuga kwamba na nyiny hamumpendi Miss Tz nadhan dhamira zinawasuta kwamba mnamshabikia mtu bogus
Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)
Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.
Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.
Nimeatach na screen shots za matukio yote.....
View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645 View attachment 317646
View attachment 317731 View attachment 317643 View attachment 317644 View attachment 317645
Nje ya MadaChadema ilikuwepo kabla ya Lowassa kuhama CCM, na tena ilikuwa ni chama imara, pendwa na chenye nguvu na ushawishi wa kutosha, hasa katika miji mikubwa ya Tanzania.
Hata Ukawa iliasisiswa kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia CDM. Kwa misingi hii hamna mtu anayeweza kuja na takwimu halisia eti bila Lowassa mambo yangekuwaje UKAWA?? Kama yupo azilete.
Hoja yangu ni hii;
Lowassa mpaka sasa amegeuza kila aina ya mafanikio ya UKAWA kuwa yake binafsi na kujinasibu kuwa yeye ndo ameyaleta. Amekuwa akijinasibu kwa kauli za kujisifia binafsi kana kwamba Chadema na Ukawa havikuepo na yeye ndo alikuja kiuasisi Chadema na muungano wa Ukawa.
Kauli za Lowassa zinakiweka chama mikononi mwake, na si mikononi mwa wanachama waliosumbuka kukijenga chama hiki kwa machozi, jasho, damu, vifo, njaa, na kudhalilishwa na Nguvu za Dola.
Mfano wa kauli za Lowassa;
1. "Nimewawezesha wapinzani kufikisha wabunge zaidi ya 100, tukiweka na viti maalum"
2. "Nimewasaidia kushikilia jiji la Dar es salaam"
3. "Nitagombea 2020, najiandaa na uchaguzi mkuu "
4. "Nimeufanya upinzani kuwa na nguvu kuliko wakati wowote"
Na nyingine nyingi zenye utata!
Swali ni je, kwanini hizi "nime" zisiwe "chama kime"? Halafu toka lini Lowassa amefuta taratibu za kumpata mgombea urais ndani ya chama na kujihakikishia nafasi ya kugombea uchaguzi mkuu 2020??
Lowassa apewe onyo, na afunzwe kuwa siasa ni collective and intergrated efforts na sio One man show or else mtwambie kama amekabidhiwa chama mikononi mwake, na lini ilifanyika hivyo.
Nakuambia angefurahije?
Leo nimempenda Wema bure,Zari mswahili sana.
Eti anamuuliza Esma umeme umelipia?
Akimaanisha Wema na lile sakata la Tanesco.
Huyo Esma nae atakuwa mpumbavu kama ataungana na Zari kumtusi Wema aliyemuunganishia Petit man aliyemtoa gundu la ndoa.
Kwahyo bikra yuleee....watu kujitoa ufahamu.........hivi wema azae, kaolewa na nani !??? ... daah watu bhana !
..........bikira unahusiana na na nini na mtu kubeba mimba bila kuolewa !?Kwahyo bikra yuleee....watu kujitoa ufahamu
Nakushangaa unaona kubeba mimba ni dhambi zaidi ya uzinzi.Msijitoe ufahamu kwa mapenzi ya vichochoroni..........bikira unahusiana na na nini na mtu kubeba mimba bila kuolewa !?
Tuletee huo ushahidi tukuamini, manake kwa stage aliyofikia zari saivi kama kungekuwa na kitu cha ivyo angeshascreen shot na kuitupia kwenye publicKuna vitu vingi sana vipo nyuma ya pazia kuhusu ili suala..Zari sio mama wa kukurupuka na kuanza kuandika mambo hayo..izo ni caption za insta tu..ila kupitia simu direct talking ni mengi sana yanaendelea na amini usiamini Wema mpaka kesho kutwa anamsumbua sana Diamond...Zari ametumia ustaarabu tu wa kujaribu kupunguza usumbufu wa Wema anaompa Daimond kupitia Insta ila laiti kama akiamua kuweka wazi yanayoendelea nyuma ya pazia,nadhani ulimwengu mzima utamshangaa Wema kwa tabia anayoifanya....amini usiamini hu si umbea na wala ubuyu..100% nina uhakika na ushahidi pia upo...
Nendeni kwa dr mwaka ipo kule DNA ya baby tiffah dangote mama ake anamwita "panic button"Mkimaliza yoteeee mtuletee DNA ya baby tee "pumbavu" in mwandiko wa wema