Kimenuka: Lady jay Dee afunguka, Atoa wosia wake siku akifa

Wouldn't touch her with a 12 foot pole, but wouldn't hesitate to lay pipe in her a-hole all night every night either!

But the point is she ain't got talent at all in my eyes.

She's more of a performer and business-woman than a real artist.

She's also wont to seek unnecessary public attention and sympathy.
 
She's only worried about how much money she gets and how much money she could potentially lose.

True artists don't have time for that.

She's in the music game purely for money and fame and not because of her obviously mediocre artistic talents.
 
Dada jde pole saana... ila umenifurahisha sana kwa kauli yako "kila nafsi itayaonja mauti" ..... kwa imani y amo hiyo umenivuta niwe SHABIKI wako
 
Dada jde pole saana... ila umenifurahisha sana kwa kauli yako "kila nafsi itayaonja mauti" ..... kwa imani y amo hiyo umenivuta niwe SHABIKI wako

Hakuna cha pole wala nini, since she wants to be a player in the game, let the b.itch take the di.ck like the damn pro that she thinks she is.
 
Chuki zisifike kiwango hiki, ni Mwanamuzi yupi wa kike kwenye muziki wa kizazi kipya mwenye kipaji kama huyu humtambui?

Jide anahitaji Sympathy ipi wakati kwa maisha ya Kibongo yuko fresh kabisa kimaisha nyumba nzuri ya kuishi, gari nzuri ya kutembelea na biashara zake zinaendelea, au na wewe ni wazee wa magorofani?
 
Incontrovertible evidence

Unajua maana yake au unasikia tu?

Kwa hili itakuwa kama unajaribu kumuua nzi kwa sledgehammer mkuu.

Kubali usikubali, hii ni internet bulletin board, na siyo mahakama ya sheria.
 

Basi ange-dili na matatizo yake ya kibiashara pembeni na siyo kutoa tuhuma binafsi zenye hisia kali kwenye mablogu na kila mahali mtandaoni.
 

Kama anadai ana kipaji, kwa nini analialia kwenye mtandao?

Kama ni kipaji cha kweli, hakuna mtu anaweza kumnyang'anya, wee sema tatizo lake ni pesa na umaarufu.
 
Basi ange-dili na matatizo yake ya kibiashara pembeni na siyo kutoa tuhuma binafsi zenye hisia kali kwenye mablogu na kila mahali mtandaoni.

Kama anadai ana kipaji, kwa nini analialia kwenye mtandao?

Kama ni kipaji cha kweli, hakuna mtu anaweza kumnyang'anya, wee sema tatizo lake ni pesa na umaarufu.
Siyo kama anadai ana kipaji fact ni kwamba anacho kipaji na kama Clouds wanadhani wao ndio wanawapa watu vipaji basi wachukuwe mabinti zao wawape hivyo vipaji ili pesa irudi nyumbani.

Mimi siku zote napinga dhulma na nitabakia kuwa hivyo, naipinga CCM kwa sababu ya dhulma kwa Watanzania the same thing anachofanya Kusaga na Maharamia wenzake, hili halikubaliki, badly mtuhumiwa mwenyewe ndio rafiki wa Rais wa nchi unategemea Jide afanye nini zaidi ya kutufahamisha public?
 

Sawa. Lakini, tokea mwanzo, she was all "swinging" when she was winning with those fellas, lakini ghafla baada ya ku-fall out nao in purely business matters, anaanza kuwalaani na kutafuta huruma na support ya umma.

Hakuna jipya hapa, na ukweli this is typical of young girls' behavior.

Anataja tu pesa na kukua kwake kibiashara, na watu kumuonea wivu.

Mbona wanamuziki wengi wa kweli walikufa maskini na bila kulalamika kuhusu pesa?

Mara aanzishe maji ya kunywa yenye jina lake, mara afanye sijui nini kutafuta hela tu na umaarufu, lakini kipaji cha kweli kimuziki ni kiduchu; hata back-up singers wa bendi za dansi enzi zangu wamemzidi uimbaji maradufu.
 
acha ubishi wewe... mambo yote hadharani, muulize zamaladi mtoto wake baba ni nani hakuna jibu..... mpaka chet cha mtoto kaandikwa ubini wa mama.

Cloud ni wazuri, tatizo ni kujifanya wanajua kila kitu.....
Kwani ubini wa mama wa Zamaradi ni Kusaga?mambo ya Mbao FM si mazuri,nazidi kusisitiza tena mtavunja ndo za watu wajameni
 
Kwani ubini wa mama wa Zamaradi ni Kusaga?mambo ya Mbao FM si mazuri,nazidi kusisitiza tena mtavunja ndo za watu wajameni

Hii ni habari nyingine,
Una maana Mtoto wa Zamaradi Mtetema, Baba ni kati ya hao jamaa wa MAWINGUNI?

Kama ndivyo HATARI kubwa!
Naon pia ili kudhihirisha wao ni kiboko wamesambaratisha ile Groove back ya Kila jumamosi, kwa vyovyote watakuwa wamemwambia DJ Peter moe ahame pale atafute sehemu nyingine ya kupiga ol skul na sio pale nyumbani lounge!

Kiukweli kwa sasaa biashara nyumbani lounge sio kbs kwa sasa!
 
Gadna nae vipi urafiki na kina Ruge ndiyo umekufa.
 
Mapacha na Vinega wengine waliambiwa wavuta bangi,sasa sijui na Jaydee watasemaje,Clouds mafalaaaaaaaa
 
Hivi haka kajoseph kusaga na karuge wanajidaia kitugani?? Mungu wao ni yupi?? Wamesuluhishwa na sugu hata mwaka karibu hauja isha leo JD tena, katakuwa na matatizo sana. sasa naona kanakaribia kuexpire! na mwisho wake umefika!
 

Unajua yeye Anawalipa kiasi gani wale Wanamuziki wake wa bendi? Au ana lalamikia kunyonywa wakati nae Ananyonya watu pale.
 

Umeongea Ukweli mtupu.... Ila Kipaji hata Kiduchu hana! Kabebwa bebwa pale leo kaachwa Wanabebwa wenzie anapiga makelele Alikuwa na uwezo wa kuimba kumzidi Stara thomas huyo? Akapambane mwenyewe Asitafute huruma za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…