ushahidi uko wazi mbona...
Alituonesha mwenyewe kwenye kipindi chake cha Diary.
Unajua nashindwa kuelewa yule dada analalacholalamika ni nini hadi dakika hii? au mmewe ajalipwa marupurupu labda aliporesign.....katika wasanii wakubaniwa yule ajabaniwa kabisa ila tuuu muda wake ushakuwa magharibi tukubali tu kachuja....aafanye shughuli nyingine kama hilo picha lake la EATV na biashara nyingine.
ashakuwa alijojo tena...
Hivi huyo mdada hana album mpya kweli inayotoka hivi karibuni?
Nauliza maana hawa wasanii huwa wana sifa za kuanzisha mabifu bifu pindi wakaribiapo kutoa albums mpya kwa matarajio ya kwamba attention watakayopata kwenye bifu itasaidia mauzo ya album.
Ana album mpya itaanza kuuzwa this week nadhani, kama sio next week anapofanya 10 yrs annivessary toka aingie muzikini. Ina nyimbo nzuri...kuna moja ya joto hasira. Na msuto mmoja wa kama wanaume kama mabinti unaitwa 'yahaya'.
Pole jide.
Daima kumbuka 'mungu akiwa upande wako ni nani aliye juu yako'?
Neno hili lisimamie na utashinda.
Hivi huyo mdada hana album mpya kweli inayotoka hivi karibuni?
Nauliza maana hawa wasanii huwa wana sifa za kuanzisha mabifu bifu pindi wakaribiapo kutoa albums mpya kwa matarajio ya kwamba attention watakayopata kwenye bifu itasaidia mauzo ya album.
Angemjuwa Mungu na kumtumaini asingeita Mganga wa kienyeji ili ampunge jini mahaba alilokuwa analipa mambo mixer kulikatikia uno Day and 9t...
Bibi ana balaa huyo dah
Unajua unacho kisema?kwa kweli mimi kama msikilizaji wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka 10 sasa sijawahi kuona msanii mnafiki kama Jide , huyu dada kama walivyokuwa wasanii "avarage" wengi amesaidiwa sana na clouds fm kufika hapo alipo leo.
Siwatetei clouds kwa kuwa najua ni wabaguzi na wanyonyaji sana kwa wasanii wetu, lakini tukirudi kwenye ukweli huyu Jay D ni mnafiki sana, leo hii baada kukatiwa mirija pale clouds ameamua kuanzisha vita nao huku akitumia kigezo cha kuwa ni wanyonyaji, ..Jay d hajui anachotaka..kwa nini asilalamike kuhusu "Wahindi" ambao ndio wanyonyaji wakubwa wa wasanii, kwa nini asilalamike kuhusu wanavyonyonywa na makampuni ya Ringtone? Anachofanya Jay d ni unafiki mtupu, yeye kama anamatatizo na clouds aweke wazi huo ugomvi wake na clouds na wala asiseme habari za unyonyaji.
Kwa mwendo huu Umoja wa Wasanii wa Bongo flavour bado saana.
Much Respect to
Mr.Two a.k.a Sugu
Mapacha.
solo thang
wanaharakati wote wa VINEGA
Na wewe unaeamini kuwa Jay D ni mnafiki.
Wakati mwingine mtu unaweza kuchelewa kuuliona jambo kwa sababu zozote zile lakini unapoliona na kulikosoa hatukuhukumu kwa kuchelewa kuliona, sababu huo ni ubinadam.Wakati wanawaonea wengine enzi hizo yeye anabebwa alikuwa kimyaaaaaaaaaaa anafurahia kupandishwa chati na kuimba yeye sio hivyoooooo.
Sasa mambo hayamuendei ndio anaongea kusema wako hivi vile, ulikaa kimya kwanini ukaangalia akina sugu wanalalamika na wengine nyimbo zao zilikuwa hazipigwi, wewe ulisikika kila saa sasa eti hivi vile.
Hana wa kumbeba sasa ndio maana anaongeaaaaaaaa akalale mbele.
Wala sitetei yeye wala clouds naongea yeye jide kwa aliyoyaona na kunyamaza kisa pesa.
Clouds wachumia tumbo tu! Bora kawawai maana wangejazana na makamera yao msibani!
Hajazaa na kusaga mkuu, zamaradi amezaa na ruge mutahaba na kama sikosei ana watoto wawiliMwisho WA hiyo radio unakaribia.hivi kumbe zamaradi kazaa na kusaga?hii kwangu ni breaking news