Kimenuka mnyama adai alipwe milion ishirin kwa wiz wa nyimbo yake

Kimenuka mnyama adai alipwe milion ishirin kwa wiz wa nyimbo yake

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Mnyama TID anadai alipwe miliion ishirin kabla hajawapeleka kuwalaza central Quick lock kwa wiz wa nyimbo yake aliyoiba ambayo mnyama anadai hapo awali hiyo nyimbo iliweza kubeba tuzo mbili habal kamili nakuletea
 
Hebu tulia kwanza ukitoka huko choo uliko uandike vizuri
 
Mnyama TID anadai alipwe miliion ishirin kabla hajawapeleka kuwalaza central Quick lock kwa wiz wa nyimbo yake aliyoiba ambayo mnyama anadai hapo awali hiyo nyimbo iliweza kubeba tuzo mbili habal kamili nakuletea
Hivi ulikuwa na haraka ya wapi vile?
 
Nyimbo yenyewe utakuta haina ata hati miliki alafu mtu anadai milion 20, mwisho wa siku atawalipa yeye hela ya usumbufu kutokana na heka heka za police, nyimbo tangu itoke haijaingiza ata milion 10 alafu upewe kizembe tu 20
 
TID MNYAMA ATANGAZA KUMUWEKA JELA QUICK ROCKA. .NI BAADA YA KUIBIWA WIMBO WA "WATASEMA SANA" . kupitia ukurasa wake wa Instagram Tid ametoa mapovuuu Kwa kuyaandika Haya. BY @tidmusic - Wat is this....?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK [HASHTAG]#Watasema[/HASHTAG] Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation... This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 inKenya u can't just Steal it, Unalala Ndani Leo . . . JE UNAZUNGUMZIAJE MAAMUZI HAYA YA TID?? NI SAWA AU ASAMEHE???
19425044_988263147990438_2189648037729533952_n.jpg
 
Nyimbo yenyewe utakuta haina ata hati miliki alafu mtu anadai milion 20, mwisho wa siku atawalipa yeye hela ya usumbufu kutokana na heka heka za police, nyimbo tangu itoke haijaingiza ata milion 10 alafu upewe kizembe tu 20
Hapana ile nyimbo ni kubwa sana inatunzo mbili had mda huu tuzo moja ya nyumban na nyingine ya kimataifa ambayo mnyama aliichukulia kenya
 
Watu wamefyata baada ya kuwaambia watu wanaomuita TID ni washamba yeye aitwe Mnyama na ni ruksa watu nje ya Dar kumuita TID ... yeye anawahi Gym
 
Back
Top Bottom