Kimenuka P-Funky Majani na Jose Chameleon, kisa wimbo wa 'Bomboclat'

Hapa kwetu hao watu ni wachache sana na sidhani kama wapo ambao wamejikita kwenye hilo suala. Ndo vile tu, mtu unakuwa na copyright issue na hakuna specialized entertainment attorneys basi unaamu kwenda kwa yeyote ambae ana abc ya tasnia ya burudani.
Na hao wachache wakijitokeza watapiga hela sana
 
Hakuna ushemeji na waganda kwa hili pfunk apo akomae tu apate jasho lake shigongo alibezwa leo kikowapi jamaa tapel
 
Uelewa ndio shida
 
Umeeleza vizuri nimeelewa kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…