Kimenuka tayari Mozambique, watu 18 wauawa

Kimenuka tayari Mozambique, watu 18 wauawa

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.

Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.

Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.

NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
 
Frelimo Chama rafiki cha CCM yanaihairibu nchi kwa uchafuzi wao wa uchaguzi.

Kuna la kujifunza chama dola kongwe CCM, ukiona mwenzio ananyolewa tia maji kichwa

CCM msitake kuandikwa katika historia kwa kuharibu nchi. Muulizeni Mzee Mizengo Kayanda Peter Pinda waziri mstaafu aliyeongoza waangalizi wa kutoka nchi za SADC jinsi uchaguzi ulivyokwenda vizuri juzi huku chama dola kongwe cha Botswana kubwagwa katika uchaguzi bila kuharibu nchi.
 
Tanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda ‘fair and square’. Sababu za kuzima internet labda ilikuwa kuzuia upotoshaji wa wahuni tu.

Shida labda iwe 2025, lakini usifananishe ushindi wa Magufuli wa haki na mambo ya siasa za hovyo kwengine kwenye bara.
 
Tanganyika uchaguzi 2020 Magufuli alishinda. Sababu za kuzima labda ilikuwa kuzuia upotoshaji wa wahuni tu.

Shida labda iwe 2025, usifananishe ushindi wa Magufuli wa haki na siasa za hovyo kwengine kwenye bara.



..kosa alilofanya Magufuli 2020 ni kuiba kura, na kuvuruga uchaguzi ambao alikuwa na uwezo wa kushinda kihalali.
 
Umesema hana akili?
Usiniwekee maneno, hakuna sehemu nimeandika yeyote hana akili, mleta mada au hao Frelimo.

Iła kumlinganisha Magufuli na upumbavu wa Africa hilo ni unacceptable.

Wakati wewe Lugumi unadhani video yake ni ya kutisha, kuna wenzake wananunua magari yenye bei zaidi and ‘custom made’ hiyo ndio Tanzania ya Samia.

Hawa sasa wana sababu ya kulazimisha ushindi huko mbele ili wabaki madarakani. Sio Magufuli mchapa kazi na aliekuwa kipenzi cha wa watanzania.
 
..kosa alilofanya Magufuli 2020 ni kuiba kura, na kuvuruga uchaguzi ambao alikuwa na uwezo wa kushinda kihalali.
Walau unakubali hakukuwa na wakumshinda Magufuli 2020.

Kosa labda lilikuwa kwenye kuengua wapinzani kwa sababu za hovyo na kuacha wengine wapite bila ya kupingwa, hata hivyo CCM ingeshinda tu 2020.

Hakuwepo mtu wa kumshinda Magufuli 2020.

Mengine tunayo hadithiwa yanayoendelea Tanzania leo kuyasema ni kwamba labda ujitakii mema, binafsi sipendi kuyasikia for some reason najikuta nimeyajua; hiyo imekuwa ya hovyo sana.
 
Kupindua treni yenye kubeba watu 1500 na kusababisha vifo vya mamia ya watu na majeruhi kwa sababu tu ya kujaribu kumkwepa mtu mmoja aliyekaa kwa makusudi kwenye reli ni upumbavu na ujinga usiofaa popote duniani na mbinguni.
Busara ni kumgonga mtu mmoja na kuokoa wetu 1500.

Mwenye chair man wa Timu ya kuchagua akivuruga uchunguzi anatakiwa auawe yeye binafsi badala ya kusababisha maafa ya watu kwa sababu ya ukichaa wake. Haiwezekani apotezee watu muda wao halafu abaki akiwa anapeta tu na kuhongwa teuzi . Yaani anaikosea nchi na kuitumbukiza kwenye umwagaji wa damu halafu anahaki salama . Kumwacha mtu kama huyo ni dhambi kubwa sana kwa taifa.

Kama tatizo ni msimamizi wa uchunguzi basi ashughulikiwe yeye binafsi hata kwa kumwagiwa petroli na kuuawa harakaharaka umma upate raha na sio kuumiza umma kwa maslahi ya kipumbavu .

Ikifanyika hivyo wachafuzi wa uchunguzi wataufyata mkia milele . Kwa sasa mpaka wakimu wa skuli wanajipendeleza kwa kuvuruga uchunguzi . Kisa teuzi . Wanavuruga uchunguzi kisha wao wanapata vyeo . Huu ujinga hauta Isha. Kama ni makimu amevuruga jioni akirudi anakuta nyumba yake haipo imebaki majivu Meusi ardhini.

Kwa hiyo wanaMuzambiki wanaendeleza hali hiyo wao wenyenyewe kwa kufanya vurugu mitaani badala ya kuwatafuta kimya kimya waliovuruga uchunguzi na kumalizana nao mmoja baada ya mwingine .

Hasira ya umma usifanyiwe watu wasio na majibu bali waliovuruga wanene uovu wao na familia zao.

Luzambiki badilikeni. Tafutaeni mali zao hao wanafrelimo ,ofisi zao ,viongozi wao na walioharibu na kuvuruga uchunguzi huo ambao ni haki ya watu kisha mnawamwagia hata mafuta ya korosho kisha mnawachoma moto kabisa kabisa bila huruma.


Tanzania hatuna la kujifunza Msumbiji mana uchaguzi huku ni wa wazi na haki . Wananchi wanachagua wenyewe na kuipenda CCM wenyewe . Sasa kama wapinzani wenyewe wanagombania uwenyekiti watapata wapi sapoti ya umma ?

CCM bado ni chama bora ,jambo la msingi ni kutuletea mtu imara anayeweza kulinda rasilimali za umma na kutumbua majipu kwa manufaa ya umma.

Chadema kuna mgogoro mkubwa kati ya Watetezi wa wanyonge na watafuta fedha na mali na walinda mali kupitia siasa.
Chadema nguvu yake ni Wananchi ,wananchi wengi walihama kutoka CCM , NCCR Mageuzi ,UDP ,DP na TLP na kuifanya Chadema iwe kama ilivyo leo kwa sababu tu walimuunga mkono Mrema na Mtikila katika siasa za kupinga Rushwa na ufisadi. Walienda Chadema kwa sababu ya Dr. Slaa na sio Mbowe. Watangayika kwa wingi wao hawapendi siasa za wachache kupora mali za umma au za chama na kuzifanya binafsi. Mbowe abadilike na kujua kuwa Chadema imekua kwa sababu ya wanachama wa CCM,TLP,DP ,UDP na NCCR .
Ukiangalia sera za vyama hivyo ni sera za kuinua wanyonge na kupinga ufisadi unaojificha kwenye siasa na utawala.

Mbowe anakatisha wananchi tamaa sana . Amepigana chama kwa kiasi chake lakini wapo waliotoa uhai wao kupata wanachama wengi waliokuja na kadi za NCCR Mageuzi ,CCM na TLP.
Hawa wanachama ndani ya Chadema kutoka CCM , NCCR , TLP , UDP na DP siku wakiamchoka kabisa Mbowe na kuamua kuendelea kurudi kwenye vyama vyao vya awali bila shaka Chadema itabaki kama CHAUMA au CCK . Hata ACT nayo siku ilifanya ujinga wa kuwabagua waliotoka CUF basi mwisho wake utakua umekaribia.

Chadema uchaguzi wake wa mwisho ni 2025 kikiangukia pua kitakua kimepotea kabisa katika siasa Tanzania na wa kulaumiwa atakua ni Mbowe.
CCM kitaendelea kutawala kwa sababu ya kujua siasa za watanzania na namna ya kuwapa wananchi kile wanachokikosa kwa wakati huo. 2025 CCM nao wakichemka wataonja joto ya jiwe
 
Boeing 787 linasubiri kupaa tu na Wasanii kibao
 
Mkuu, ulikuwepo kwenye kuhesabu kura hadi kujua kuna mshindi wa tume na asiye wa tume?
Nchi ambazo zilianza na ukominist baada ya Uhuru huaga zina demokrasia bandia, haziamini katika uchaguzi huru, ni Zambia pekee yake ndio wameondoka na ujinga wa kulinda chama badala ya kuilinda nchi. Msumbiji is one of them, Tanzania ndio baba yao.
 
Iła kumlinganisha Magufuli na upumbavu wa Africa hilo ni unacceptable.
Unacceptable? You've got to be kidding!

Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichika...ukipenda chongo utaita kengeza.
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Jean Bedel Bokassa?
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Francisco Macías Nguema?
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Mobutu Sese Seko?

Please remember, kazi aliyoanza Magufuli inaendelea!
 
Unacceptable? You've got to be kidding!

Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichika...ukipenda chongo utaita kengeza.
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Jean Bedel Bokassa?
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Francisco Macías Nguema?
Utamtofautishaje John Pombe Magufuli na Mobutu Sese Seko?
Nitakacho kwambia sina mpango wa kupoteza maisha yangu kishamba.

Hujui tu kinachoendelea Tanzania kwa sasa,

wewe unadhani kazi ya kuwabadili watu tabia ni rahisi, mengine sio ya kuandika JF in details,

Hawa watu bora uwaseme jumla_jumla usijifanye unawajua.

Vinginevyo ungejuw kinachoendelea uwezi mtukana Magufuli, niamini.
 
See what I mean? Anayejua ni wewe tu Mayor Quimby and so did Magufuli!
If you are in the know circle, you would have known.

Kwa mtu kama mimi mwenye maadui kila kona (wengine hata siwajui), majizi hayo-hayo ndio ulinzi wangu siku nikienda Tanzania. Kwakua najua yana nguvu-nijaribu na yenyewe yajibu, labda utumwe na Samia tu.

Ndio ujiongeze, mengine atuwezi sema yanawahusu watu tunaowategemea ulinzi wao tukifika Tanzania.

Naweza kukwambia GSM katuma kiasi gani kununua Magari gani la kwake na ls kuwapeleka watoto shule na wala sikosi usingizi. Iła kuna watu uwezi kuwaongelea kabisa.

Ni kukupa tu msamiati, hujui vita ya Magufuli. Hakuwa na vita ndogo kama unavyodhani in your pathetic little head
 
CCM wajiandae kisaikolojia 2025 wizi wa kura hautafanikiwa wakitumia ubabe the Hague kunawahusu
 
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.

Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.

Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.

NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
South Africa wametangaza kufunga mpaka wao na Msumbuji.
 
Back
Top Bottom