Kupindua treni yenye kubeba watu 1500 na kusababisha vifo vya mamia ya watu na majeruhi kwa sababu tu ya kujaribu kumkwepa mtu mmoja aliyekaa kwa makusudi kwenye reli ni upumbavu na ujinga usiofaa popote duniani na mbinguni.
Busara ni kumgonga mtu mmoja na kuokoa wetu 1500.
Mwenye chair man wa Timu ya kuchagua akivuruga uchunguzi anatakiwa auawe yeye binafsi badala ya kusababisha maafa ya watu kwa sababu ya ukichaa wake. Haiwezekani apotezee watu muda wao halafu abaki akiwa anapeta tu na kuhongwa teuzi . Yaani anaikosea nchi na kuitumbukiza kwenye umwagaji wa damu halafu anahaki salama . Kumwacha mtu kama huyo ni dhambi kubwa sana kwa taifa.
Kama tatizo ni msimamizi wa uchunguzi basi ashughulikiwe yeye binafsi hata kwa kumwagiwa petroli na kuuawa harakaharaka umma upate raha na sio kuumiza umma kwa maslahi ya kipumbavu .
Ikifanyika hivyo wachafuzi wa uchunguzi wataufyata mkia milele . Kwa sasa mpaka wakimu wa skuli wanajipendeleza kwa kuvuruga uchunguzi . Kisa teuzi . Wanavuruga uchunguzi kisha wao wanapata vyeo . Huu ujinga hauta Isha. Kama ni makimu amevuruga jioni akirudi anakuta nyumba yake haipo imebaki majivu Meusi ardhini.
Kwa hiyo wanaMuzambiki wanaendeleza hali hiyo wao wenyenyewe kwa kufanya vurugu mitaani badala ya kuwatafuta kimya kimya waliovuruga uchunguzi na kumalizana nao mmoja baada ya mwingine .
Hasira ya umma usifanyiwe watu wasio na majibu bali waliovuruga wanene uovu wao na familia zao.
Luzambiki badilikeni. Tafutaeni mali zao hao wanafrelimo ,ofisi zao ,viongozi wao na walioharibu na kuvuruga uchunguzi huo ambao ni haki ya watu kisha mnawamwagia hata mafuta ya korosho kisha mnawachoma moto kabisa kabisa bila huruma.
Tanzania hatuna la kujifunza Msumbiji mana uchaguzi huku ni wa wazi na haki . Wananchi wanachagua wenyewe na kuipenda CCM wenyewe . Sasa kama wapinzani wenyewe wanagombania uwenyekiti watapata wapi sapoti ya umma ?
CCM bado ni chama bora ,jambo la msingi ni kutuletea mtu imara anayeweza kulinda rasilimali za umma na kutumbua majipu kwa manufaa ya umma.
Chadema kuna mgogoro mkubwa kati ya Watetezi wa wanyonge na watafuta fedha na mali na walinda mali kupitia siasa.
Chadema nguvu yake ni Wananchi ,wananchi wengi walihama kutoka CCM , NCCR Mageuzi ,UDP ,DP na TLP na kuifanya Chadema iwe kama ilivyo leo kwa sababu tu walimuunga mkono Mrema na Mtikila katika siasa za kupinga Rushwa na ufisadi. Walienda Chadema kwa sababu ya Dr. Slaa na sio Mbowe. Watangayika kwa wingi wao hawapendi siasa za wachache kupora mali za umma au za chama na kuzifanya binafsi. Mbowe abadilike na kujua kuwa Chadema imekua kwa sababu ya wanachama wa CCM,TLP,DP ,UDP na NCCR .
Ukiangalia sera za vyama hivyo ni sera za kuinua wanyonge na kupinga ufisadi unaojificha kwenye siasa na utawala.
Mbowe anakatisha wananchi tamaa sana . Amepigana chama kwa kiasi chake lakini wapo waliotoa uhai wao kupata wanachama wengi waliokuja na kadi za NCCR Mageuzi ,CCM na TLP.
Hawa wanachama ndani ya Chadema kutoka CCM , NCCR , TLP , UDP na DP siku wakiamchoka kabisa Mbowe na kuamua kuendelea kurudi kwenye vyama vyao vya awali bila shaka Chadema itabaki kama CHAUMA au CCK . Hata ACT nayo siku ilifanya ujinga wa kuwabagua waliotoka CUF basi mwisho wake utakua umekaribia.
Chadema uchaguzi wake wa mwisho ni 2025 kikiangukia pua kitakua kimepotea kabisa katika siasa Tanzania na wa kulaumiwa atakua ni Mbowe.
CCM kitaendelea kutawala kwa sababu ya kujua siasa za watanzania na namna ya kuwapa wananchi kile wanachokikosa kwa wakati huo. 2025 CCM nao wakichemka wataonja joto ya jiwe