Elections 2010 Kimetokea nini Habari Leo?? Heading zote za Dr Slaa... kunyofolewa?

Elections 2010 Kimetokea nini Habari Leo?? Heading zote za Dr Slaa... kunyofolewa?

Moseley

Senior Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
187
Reaction score
98
Je, Habari Leo wamegundua kuwa wanampa umaarufu Dr Slaa kwa kumwandika vibaya?? Maana ukifungua gazeti lao kwenye website yao, kwenye habari zaidi, zile heading zilizokuwa zinamchafua Dr Slaa wamezinyofoa... Je, wamegundua kuwa wanampa umaarufu bila wao kufahamu??
Ni mtazamo tu, Nawakilisha.......
 
Je, Habari Leo wamegundua kuwa wanampa umaarufu Dr Slaa kwa kumwandika vibaya?? Maana ukifungua gazeti lao kwenye website yao, kwenye habari zaidi, zile heading zilizokuwa zinamchafua Dr Slaa wamezinyofoa... Je, wamegundua kuwa wanampa umaarufu bila wao kufahamu??
Ni mtazamo tu, Nawakilisha.......
Mbona bado zipo HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania : sema hawana tena cha kumuandika Slaa pumzi imewaishia walikuwa wanategemea habari moja tu sasa iko mahakamani hawawezi kuiandika.
 
wameanza kuogopa, kwa jinsi wanavyomchafua slaa ndo jinsi yanavyoibuka mengi dhidi yao
 
Je, Habari Leo wamegundua kuwa wanampa umaarufu Dr Slaa kwa kumwandika vibaya?? Maana ukifungua gazeti lao kwenye website yao, kwenye habari zaidi, zile heading zilizokuwa zinamchafua Dr Slaa wamezinyofoa... Je, wamegundua kuwa wanampa umaarufu bila wao kufahamu??
Ni mtazamo tu, Nawakilisha.......

Bado zipo bofya habari za kitaifa au HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
 
Back
Top Bottom