Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Hakuna maelewano mazuri kati ya Viongozi wa Real Madrid na PSG mpaka sasa, PSG wakiwashutumu Madrid kumlaghai kijana na ndio sababu amegoma kusaini mpaka sasa.
Taarifa za leo asubuhi ni kuwa, msimamo wa Mbappe upo palepale licha ya Messi kusainiwa ila yeye anahitaji kuondoka kujiunga na Real Madrid.
Mbappe yupo wazi kuwa hawezi kusaini mkataba mpya, kama hauzwi basi ataondoka bure mwishoni mwa msimu.
Mpaka sasa Madrid hawana presha yoyote, PSG waamue wao wachukue pesa au Madrid wachukue mtu wao bure.
Taarifa za leo asubuhi ni kuwa, msimamo wa Mbappe upo palepale licha ya Messi kusainiwa ila yeye anahitaji kuondoka kujiunga na Real Madrid.
Mbappe yupo wazi kuwa hawezi kusaini mkataba mpya, kama hauzwi basi ataondoka bure mwishoni mwa msimu.
Mpaka sasa Madrid hawana presha yoyote, PSG waamue wao wachukue pesa au Madrid wachukue mtu wao bure.