[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbappe amesha saini pre contract na Liverpool, soon deal litakuwa official.
PSG baada ya kumpata Messi wanajiona wao ndio klabu bora sasa
Bongo kunawachambuzi basi, lugha yenyewe tu kwao ngumu maana wangeweza hata ku google kupata ukweliTaarifa kutoka kwa wachambuzi wetu zinadai Mbape ni mchezaji wa Monaco yupo PSG kwa mkopo, Wenye maamuzi ni Monaco na mchezaji Kama ata amua kumaliza muda wa mkopo au kurudi Monaco.
Ngoja tusubiri wakati utasema...Kwani uongo, mwenyewe apo ukimpata kwenye timu lako mbona tutaisoma
Hahah kweli kimeumana ila mbape hata akiondoka psg mwaka huu watabeba kombe lao la ligue 1 ila sio UEFA championsleague hiyo wawaachie chelsea tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna maelewano mazuri kati ya Viongozi wa Real Madrid na PSG mpaka sasa, PSG wakiwashutumu Madrid kumlaghai kijana na ndio sababu amegoma kusaini mpaka sasa.
Taarifa za leo asubuhi ni kuwa, msimamo wa Mbappe upo palepale licha ya Messi kusainiwa ila yeye anahitaji kuondoka kujiunga na Real Madrid.
Mbappe yupo wazi kuwa hawezi kusaini mkataba mpya, kama hauzwi basi ataondoka bure mwishoni mwa msimu.
Mpaka sasa Madrid hawana presha yoyote, PSG waamue wao wachukue pesa au Madrid wachukue mtu wao bure.
Mimi shabiki la Real Madrid na Liverpool lkn naombea angeenda Liverpool.Mbappe amesha saini pre contract na Liverpool, soon deal litakuwa official.
Check ulivo liongo!Mbappe amesha saini pre contract na Liverpool, soon deal litakuwa official.