Pre GE2025 Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio utoto wa team nanilihii.

Hizo T-shirt wanazo sa wanadhani zimetokea mbinguni au kuna watu wamenunua

Rushwa wanaijua kweli?
 
Huyu jamaa ana ndevu kama Osama mbona ni jamaa yetu anaitwa Maghayo au nimemfananisha? Mh!
 
Drama tu ndio maana kushika itachukua karne!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…