Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hamna content japo ka flow vyema sana.Naona Dogo Hajataka kukaa kinyonge
Content ni Nini?Hamna content japo ka flow vyema sana.
Hujui chochote kuhusu hip hop.Nmesikiliza kalibia dakika mbili za matusi hakuna cha maana kelele nyingi mnaoijua hip hop mtanielewa ninachomanisha
At least ya saizi iko vyema kuliko ile ya mwanzoHamna content japo ka flow vyema sana.
Kijana u-young unamharibu ameshindwa kujua maana ya diss track ye ni kutuma matusi from the beginning πDizasta round hii akijibu sidhani kama dogo anaweza kuendelea
ππͺBattle za wana hip hop zipo hadi kwa mashabiki kila mmoja akijinadi mwenzake hajui hip hop yeye ndiye anaelewa hip hop.
Utasikia wale wanaojua hip hop ndio watanielewa.
Mi napenda hii battle iendelee na ikiwezekana wengine waingilie ili kuifamya game ichangamke zaidiKijana u-young unamharibu ameshindwa kujua maana ya diss track ye ni kutuma matusi from the beginning π
Ukijibu kitu ukiwa na hasira inakuwa ngumu kufanya kitu cha maana
[emoji106][emoji106]Hujui chochote kuhusu hip hop.
Saaana, unaonesha ulivyo shabiki msukule.