Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
#Wazee wa klabu ya Simba hawamtaki aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mhina Kaduguda baada ya kusema Fred na Jobe ni wachezaji ambao unaweza kuwapata Tandika na Mwananyamala.
Video : Ayoma TV
MAKOLOoooooooooooooooooo ni wendo wa kuvurugana [emoji23][emoji23]
Walianza hawamtaki Boko ....kocha zoran...... robertinho..... mangungu......try again.....Leo hawamtaki kaduguda [emoji23][emoji23]....
Guess who's next????????
Video : Ayoma TV
MAKOLOoooooooooooooooooo ni wendo wa kuvurugana [emoji23][emoji23]
Walianza hawamtaki Boko ....kocha zoran...... robertinho..... mangungu......try again.....Leo hawamtaki kaduguda [emoji23][emoji23]....
Guess who's next????????