Masandawana!!Hivi mamelod wanakuja lini,tuanzie hapo
🐸🐸Wanapesa 😂😂, inakuwaje mnaenda kurusha vipindi vya kuchezesha kamari katika Azam TV? Kwa nini hauwezi kurusha katika Yanga TV? Hizo hela mlizonazo ni za kunywea supu bila shaka 😂😂😂Wananchi Wana pesa mkuu
Kuna kitu inaitwa ,.. fans engagement....[emoji196][emoji196]Wanapesa [emoji23][emoji23], inakuwaje mnaenda kurusha vipindi vya kuchezesha kamari katika Azam TV? Kwa nini hauwezi kurusha katika Yanga TV? Hizo hela mlizonazo ni za kunywea supu bila shaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vipost vyako ndiyo vinafanya washabiki wa Yanga wadharauliwe.Hapana mkuu...bali nasikitika kuona Kila siku hamumtaki mtu
Hahahahahahaha, sawa sawaLaban na Popoma ni mapacha
Naongelea timu yenye hela kushindwa kumiliki studio yake ya kurusha matangazo ya TV mubashara na badala yake inakwenda kuomba msaada kwa studio ya jirani.Kuna kitu inaitwa ,.. fans engagement....
Makolo hawataki kuambiwa ukweli [emoji23][emoji23]Kaduguda lasema ukweli mtupu.
Freddy na Barbacar wako wengi sana Tandika na Mwananyamala.
Tena wako wazuri kuwazidi hao wachezaji.
Hao ni wazee wa Mchongo tu kama wangekuwa wa kweli wangeafiki kauli ya Kaduguda.