That's y Kuna kitu inaitwa specialization.....huwezi kuwa master wa kumiliki Kila ktuNaongelea timu yenye hela kushindwa kumiliki studio yake ya kurusha matangazo ya TV mubashara na badala yake inakwenda kuomba msaada kwa studio ya jirani.
Kubali tu [emoji196][emoji196][emoji196] ni pangu pakavu tia mchuzi tutakuelewa.
Endeleeni kufunga vyura hapo jangwani biashara mwachieni SSBThat's y Kuna kitu inaitwa specialization.....huwezi kuwa master wa kumiliki Kila ktu
Kweli wewe ni mtopoloLkn mm sio mwana Yanga
Makapuku ya utopolo hayo..hawana kadi za uanachama, hawawez kununua jezi, hawawezi kutoa viingilio , wako vijiweni tu wanaropoka hadi mimate inawatoka[emoji3][emoji3] kwa hiyo umefurahi mleta mada?
[emoji1787][emoji1787]Laban na Popoma ni mapacha
Huyu ni pimbi tu, aliwahi kununua chapati za wachezaji kule Zanzibar za tsh 36k akaja kuzidai kwenye kikao akarudishiwa pesa na team. Mtu wa ivi hata akiniambia 2+2=4 sitamuamini#Wazee wa klabu ya Simba hawamtaki aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mhina Kaduguda baada ya kusema Fred na Jobe ni wachezaji ambao unaweza kuwapata Tandika na Mwananyamala.
Video : Ayoma TV
MAKOLOoooooooooooooooooo ni wendo wa kuvurugana [emoji23][emoji23]
Walianza hawamtaki Boko ....kocha zoran...... robertinho..... mangungu......try again.....Leo hawamtaki kaduguda [emoji23][emoji23]....
Guess who's next????????View attachment 2943228
Kuna jamaa mmoja mnafanana kila kituPopoma ndo nani mkuu
Inawezekana wametoka Tandika ya huko waliko tokaKaduguda lasema ukweli mtupu.
Freddy na Barbacar wako wengi sana Tandika na Mwananyamala.
Tena wako wazuri kuwazidi hao wachezaji.
Hao ni wazee wa Mchongo tu kama wangekuwa wa kweli wangeafiki kauli ya Kaduguda.
Salamaleko dogo, twende zetu kwa Mkapa kushuhudia kifo cha 🐸🐸, hukuna kiingilio msibaniMakolo bado mna safari ndefu mkuu
Mapato yapo ya kutosha ndiyo maana mashabiki wanaingia bureNenda kabet buku 2 usaidie 🐸🐸wenzio wapate nauli ya kwenda sauz.
Haya mambo ya kaguguda kukataliwa hayaimarishi mapato ya 🐸🐸
Mkuu .... alikuwa na haki kudai ....pesa yake ...Huyu ni pimbi tu, aliwahi kununua chapati za wachezaji kule Zanzibar za tsh 36k akaja kuzidai kwenye kikao akarudishiwa pesa na team. Mtu wa ivi hata akiniambia 2+2=4 sitamuamini