Kimeumana...

Kumbe ndo maana tunashauriwa tuoe watu tunao wazidi uzito, kilo, kimoja, hadi umri. Onana sasa mimi Huyu tunkunyema ntamfanyiaje haya mambo Hahahaha NATANIA

Huyo unampatia za kichina china
And snake and monkey fight 😜.

Mapenzi hayanaga fomyula.....

Tambaa nayo vile yanakuja...
 
Mbona wengine hatujabahatika kufurahia mahaba hivi, we Kasie hebu sema siri ya mahaba haya

Sent using Jamii Forums mobile app

Aahahahahahhaa Iceberg umenifurahisha.....

Sema na moyo wako, chemchem za uhai za ndani ya moyo wako.....

Furahi na nafsi yako kwanza kisha bae wako ataakisiwa na furaha uliyonayo hence Mahaba ya furaha...πŸ˜‹πŸ˜‹

Ukimpenda, utamlisha vitamu / ukipendwa utalishwa vitamu...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Nimempikia bae wangu wali ndondo asili ya Tanzania.....

Ananiumaje vdole wakati namlisha, kagoma kula na uma na kisu..😜



Mahaba hayaa, acha kiumane tuu.
 
Walioko kwenye mahusiano yenye uelekeo wanafaidi dunia sana aise na mapenzi ni kama maji hayakwepeki anyways nimalize kwa kuendelea kuamini siyo kila kitu ni cha kila mtu.

πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚

Kati ya raha za hii dunia, mapenzi ni mojawapo.

Jipende kabla hujapendwa ...
 
Kiiimeeeeeeee........

Sauti imekwama...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji12]
Mahaba tele kwa bae wa Kasie.

Mwaahh kedekede kwake [emoji3059].

[emoji3][emoji3] unavyojua kumpromote kwa maneno matamu hadi raha
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka dah wewe kasie nimenyosha mikono ngoja na mimi nijifunze jambo hapa, hivi Kasie hili ni penzi jipya ama ni lile lile la miaka yote,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚

Kati ya raha za hii dunia, mapenzi ni mojawapo.

Jipende kabla hujapendwa ...
Ni kweli upendo huanza na mimi siwezi penda wengine pasi na kujipenda mimi kwanza.

Cheers.
 
Walioko kwenye mahusiano yenye uelekeo wanafaidi dunia sana aise na mapenzi ni kama maji hayakwepeki anyways nimalize kwa kuendelea kuamini siyo kila kitu ni cha kila mtu.

Wengine tumezaliwa kufanya mambo mengine kabisa
 
Baaabuuuuuuuu

Wivu wa niniiii......

Aahahahahahhahaaaaaa

Munene na munene....
Mwembamba na mwembamba.....
Mimi na wewe....
Kasie na Asipiro πŸ’‹

Miss you more Big Sam 😜
Hebu niache kwanza niwasindikize waislam kwenye kufuturu....

Nimeamua kukaa karibu na Maulana...

Kojoleo nimelishindilia kwenye boxer huko litulie. ...
 
Kasie mahaba, Kasie malovee uko vizurii😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…