Basi tuendelee kulima matikitiπWengine tumezaliwa kufanya mambo mengine kabisa
Swalamaaaaaah bibi [emoji4][emoji4][emoji4]Yeeeeiibaahhhh....!
Habariiiiikooo.![emoji12]
Kila mmoja aliye kwenye mahusianoBaadae mtakapogombana kwaajili ya sms mtakazoshikana uje pia tukupe ushauri.
Wengine mwanzo mwisho hucheka, just imagine unataka kumwacha mtu bila sababu unamfanyia visa hakuachi siku anasema nimeshindwa nakuacha yeye analia wewe unasema Mungu yupoKila mmoja aliye kwenye mahusiano
Mwanzoni hucheka na mwisho hilia
I receive in Jesus name..i love to have all that you wished me for.Thanks jj,
May the love and laughter be with you too β£οΈ
kuna wanaume wenzetu wanafaidi utamu humu duniani !!Woow.....!!!π³
[emoji3][emoji3] unavyojua kumpromote kwa maneno matamu hadi raha
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka dah wewe kasie nimenyosha mikono ngoja na mimi nijifunze jambo hapa, hivi Kasie hili ni penzi jipya ama ni lile lile la miaka yote,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu niache kwanza niwasindikize waislam kwenye kufuturu....
Nimeamua kukaa karibu na Maulana...
Kojoleo nimelishindilia kwenye boxer huko litulie. ...