Kimewaka tena CHADEMA asubuhi hii! Kampeni meneja wa Mbowe na Mgombea Uenyekiti BAVICHA Shija Shibeshi wawashiana moto

Kimewaka tena CHADEMA asubuhi hii! Kampeni meneja wa Mbowe na Mgombea Uenyekiti BAVICHA Shija Shibeshi wawashiana moto

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Asubuhi ya leo Januari 14, 2025 pameamka na sintofahamu baina ya Daniel Naftali ambaye ni Meneja wa Kampeni(Campaign Manager) wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akizozana na aliyekuwa Mgombea wa Uenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA)
Taifa Shija Shibeshi

Inaelezwa kuwa chanzo cha zogo hilo ni Naftali kuzungumza na Mwenyekiti wa BAVICHA Misungwi(anapotokea Shibeshi) na pale Shibeshi alipomfata mwenyekiti wake kumuuliza kuna jambo gani ndipo ugomvi ulipoanza.

Shibeshi amedai kuwa alikuwa anataka kuzungumza na kiongozi wake jambo ambalo anaona halikua na shida

 
Zipigwe tu heshima irudi. Chama kimekuwa CCM B bwana.

Hizo ni damu za watu zinawarudia, watu waliwaamini kumbe wao walikuwa wanafanya biashara.
 
Ni vile Mbowe na Genge lake wao wanaamini hata kama ni VILAZA na walochokwa ni lazima awe mwenyekiti.

Hizo ni isharà za wazi kua LISSU anakubarika.
 
..kampeni meneja wa mbowe badala ya kushawishi wapigakura anataka kupigana nao?
 
Chadema babala Demokrasia wengine uchawa na mapambio!!!

Hapa kidogo Tuzichape ila mzuka umetulia tukitoka hapa TIMUMOJA...lumumba mjipange...
 
Asubuhi ya leo Januari 14, 2025 pameamka na sintofahamu baina ya Daniel Naftali ambaye ni Meneja wa Kampeni(Campaign Manager) wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akizozana na aliyekuwa Mgombea wa Uenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA)
Taifa Shija Shibeshi

Inaelezwa kuwa chanzo cha zogo hilo ni Naftali kuzungumza na Mwenyekiti wa BAVICHA Misungwi(anapotokea Shibeshi) na pale Shibeshi alipomfata mwenyekiti wake kumuuliza kuna jambo gani ndipo ugomvi ulipoanza.

Shibeshi amedai kuwa alikuwa anataka kuzungumza na kiongozi wake jambo ambalo anaona halikua na shida

View attachment 3201407
Vijana wa TunduALissu wanajifanya wanakipenda chama. Wengi wanafata mihomko ya social media
 
Hivi ndivyo watakavyokuwa wanagombea hazina yetu pindi wakishinda uchaguzi.
 
Hamna chama hapo cha kuleta mabadiliko. Ni njaa tu zinawasumbua plus mihemuko ys ujana.

CCM mkibadilka mkarudisha utu, usawa, haki na uadilifu kwa viongozi wenu mtaendelea kushika dola. Tofauti na hivyo hawa vijana wahuni wanaweza kufanya lolote maana hawana chakupoteza.
 
Back
Top Bottom