hivi wajamani kitanda usicholala kunguni wake wakuwashia nini?
Yeye anavyoonyesha vinyama vyake wewe inakuhusu nini ? na je kumvua nguo ndio kuficha vinyama vyake visionekane, Haya mambo ya kuingilia maisha ya watu ni ufinyu wa fikraKabla ya kudhalilishwa kashajidhalilisha mwenyewe na wadada wengine,hii ilikuwa ni kukamilisha udhalilishaj,shame on her,anamwonyesha nani vinama vyake?watu wanasaka pesa yeye anatafuta madesa,pu*mb*a-v
Yeye anavyoonyesha vinyama vyake wewe inakuhusu nini ? na je kumvua nguo ndio kuficha vinyama vyake visionekane, Haya mambo ya kuingilia maisha ya watu ni ufinyu wa fikra
Open forum mtu ukiandika kitu unakuwa open kujibiwa (that's why kuna reply with qoute button, kama wewe ulivyonijibu).., ila nguo aliyovaa mtu inakuhusu nini wewe kama nyama zipo nje, na kama nyama zake zinakukera ningeelewa ungesema apewe msaada wa nguo na sio kuvuliwa...Nilijua tu wenye kuingilia comments za watu ka nyie mpo kwani we inakuhusu nin au ndo kudhiirisha ufinyu wako wa akili
Open forum mtu ukiandika kitu unakuwa open kujibiwa (that's why kuna reply with qoute button, kama wewe ulivyonijibu).., ila nguo aliyovaa mtu inakuhusu nini wewe kama nyama zipo nje, na kama nyama zake zinakukera ningeelewa ungesema apewe msaada wa nguo na sio kuvuliwa...
In short sioni ni vipi unaweza kutetea huu uhuni, udhalilishaji, uvunjaji sheria na ukosefu wa busara na ubakaji
Huo ni ukiukwaji mkubwa wa khaki za binadamu, kama yeye amevaa kimini wengine inawahusu nini? Na ukifanya utafiti utagundua kuwa wale wanaowazomea ama kuwachania nguo ni wazinzi wakubwa.
Hata kama kuvaa nguo kama hizo kwenye umati wa watu ingekuwa ni kosa la kisheria haki za binadamu ni mtu kupata hukumu stahiki na sio watu kumdhalilisha mbele ya umati na kumtoa hata kile alichokuwa amejisetiri..Haki za binadamu ndo kuvaa nguo ambazo haziitiri mwili sawasawa?
kila mtu anaweza kusema lake lakini tujiulize wadada kuvaa vimini na kuacha sehemu zao za siri nje ndio haki za binadamu au ndio uvunjifu wa haki zenyewe? tukumbuke kila haki ina wajibu, katika sheria za haki za binadamu mtu haruhusiwi kufanya jambo lolote ambalo litahatarisha umma ua kukera umma kwa kisingizio cha maendeleo ya sayansi ya inzi na teke linalokujia, kama umma unakerwa na jambo unalofanya au unalotaka kufanya basi umma una haki ya kutoona suala hilo kufanyika mbele yake
kuvaa vimini ni dhambi pia ndio maana Mungu aliwatengenezea adamu na hawa mavazi ya ngozi yenye kusitiri uchi. Biblia inasema mtu yeyote aletaye neno la kukwaza yampasa atupwe jehanaum ya moto
mm napita tu
Eeka Mangi.........wewe ndiye JF THINKER.......wengi wameburuzwa na hii khabari ambayo haina ushahidi wowote na wala hakuna chombo chochote cha khabari ambacho kimetujuza..........abandike picha hapa vinginevyo hatuikubali..............