Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
amefanya nini tena leo?
Kimondo ni mfano wa jiwe lenye moto nakumbuka ilishawahi kuanguka sehemu nishasahau ila linataka kufanana na jiwe hupita kwenye uso wa dunia
Na kazi ya kuu nikulinda mipaka hususan huachiwa kwa ajili ya kushambuliwa majini na shetani wasivuke mipaka maana hata malaika anamipaka yake akipitiliza anaunguzwa vilevile.
Nimeona mchango wako hapo juu Asante, but wana Jf sikuhizi ni mizaha tu kila jambo kama wapo MMU au Chit chat vile
Kaka nisome kwa makini sana nitajaribu kuelezea kwa kutumia kiswahili japo nitachanganya na maneno ya kingereza kwani hata kama hivi vimondo vina majina ya kiswahili yatatuchanganya.....
Kwenye SPACE kuna nyota nyingi sana na zile sayari zinazojulikana, nyota zipo kubwa na ndogo na kuna nyota kubwa kuliko hata ukubwa wa hii dunia. Baadhi yake zimeundwa kwa mawe, namaanisha sakafu ya hizi nyota ni mawe na baadhi yake hizi nyota na sayari zina volcanic activity ambazo zipo active au zilishawahi kuwa active.
Kuna kitu kinaitwa METEOROID hili ni jiwe dogo linalosafiri kwenye Space, space ni nje ya dunia huko kwenye nyota na sayari zinapoelea,
Kuna mawe mengine yanaitwa asteroids, ni kitu kile kila kama meteoroid ila asteroid ni kubwa kidogo zaidi ya meteoroid, kuna jamii nyingine inaitwa comets.."icy dirty ball" hii comets ina mchanganyiko wa mawe,water ice na mchanganyiko wa baadhi ya gesi kama methane cabondioxide,monoxide.
Kaka sasa hii comet wakati inasafiri ikipita pembeni ya jua zile gesi zinayeyusha na ukali wa joto la jua na linatengeneza kitu kama tail. Unaweza ukaona nyota imepita kwa speed na mkia mrefu ...
Turudi kwenye Meteoroid, yenyewe nayo inasafiri kwa speed kali sana inaweza ikazidi 72,000km/h. Sasa kuna kitu hapa kinaitwa aerodynamic heating-is heating of an object produced by its high-speed passage through air, yani speed yake kali tu inakisababisha kipate moto kiungue na wewe unaona kama moto umepita angani fasta.
. Kaka nadhani umenipata kidogo .
Nisiendelee sana sitaki nikuchanganye.
Hayo mengine ni kudanganyana tu ila hii ndio concept.
Asante kwa kunipunguzia ujinga
Lete uthibitisho ktk maandiko kwamba hiyo mipaka inalindwa na vimondo.Mkuu hujalazamishwa kuamini ila huo ndo ukweli kwa mujibu wa vitabu vitakatifu hata nchi na nchi nyengine kuna mipaka sembuse ufalme wa mbingu
Duh, sasa Mkuu haya mawe chanzo chake ni kutoka sehemu gani?Kaka nisome kwa makini sana nitajaribu kuelezea kwa kutumia kiswahili japo nitachanganya na maneno ya kingereza kwani hata kama hivi vimondo vina majina ya kiswahili yatatuchanganya.....
Kwenye SPACE kuna nyota nyingi sana na zile sayari zinazojulikana, nyota zipo kubwa na ndogo na kuna nyota kubwa kuliko hata ukubwa wa hii dunia. Baadhi yake zimeundwa kwa mawe, namaanisha sakafu ya hizi nyota ni mawe na baadhi yake hizi nyota na sayari zina volcanic activity ambazo zipo active au zilishawahi kuwa active.
Kuna kitu kinaitwa METEOROID hili ni jiwe dogo linalosafiri kwenye Space, space ni nje ya dunia huko kwenye nyota na sayari zinapoelea,
Kuna mawe mengine yanaitwa asteroids, ni kitu kile kila kama meteoroid ila asteroid ni kubwa kidogo zaidi ya meteoroid, kuna jamii nyingine inaitwa comets.."icy dirty ball" hii comets ina mchanganyiko wa mawe,water ice na mchanganyiko wa baadhi ya gesi kama methane cabondioxide,monoxide.
Kaka sasa hii comet wakati inasafiri ikipita pembeni ya jua zile gesi zinayeyusha na ukali wa joto la jua na linatengeneza kitu kama tail. Unaweza ukaona nyota imepita kwa speed na mkia mrefu ...
Turudi kwenye Meteoroid, yenyewe nayo inasafiri kwa speed kali sana inaweza ikazidi 72,000km/h. Sasa kuna kitu hapa kinaitwa aerodynamic heating-is heating of an object produced by its high-speed passage through air, yani speed yake kali tu inakisababisha kipate moto kiungue na wewe unaona kama moto umepita angani fasta.
. Kaka nadhani umenipata kidogo .
Nisiendelee sana sitaki nikuchanganye.
Hayo mengine ni kudanganyana tu ila hii ndio concept.
Kimondo au kwa lugha ya wenzetu wanakiita shooting star. Ni mawe makubwa ambayo mara chache hupita kwenye uso wa dunia kwa kasi sana na kuacha miale ya mwanga kama moto kwa mvutano unatokea baina ya nguvu ya dunia na chenyewe.
Kimondo ni mfano wa jiwe lenye moto nakumbuka ilishawahi kuanguka sehemu nishasahau ila linataka kufanana na jiwe hupita kwenye uso wa dunia
Na kazi ya kuu nikulinda mipaka hususan huachiwa kwa ajili ya kushambuliwa majini na shetani wasivuke mipaka maana hata malaika anamipaka yake akipitiliza anaunguzwa vilevile.
Mengi yanatokana na dusts ya hizi sayari na star na mengine ni mawe yanayomeguka kutokana na nguvu za uvutano kwenye hizi sayari, mwezi na nyotaDuh, sasa Mkuu haya mawe chanzo chake ni kutoka sehemu gani?
Well said brother.Vimondo(meteori au meteroidi) ni magimba ya angani yanayozunguka jua ama sayari katika njia yake inayoitwa obiti(orbit). vimondo huzunguka jua ama sayari kwa spidi tofauti na inakadiriwa kimondo chenye mwendokasi mkubwa kuliko vyote ni kile chenye mwendo kasi wa 42 kilometa kwa sekunde.kuna aina tatu(3) za vimondo ambavyo ni;1.kimondo cha mawe kilichoundwa kwa mawe. 2.kimondo cha chuma kilichoundwa kwa madini ya chuma. 3.na kimondo cha mchanganyiko wa madini ya chuma na mawe.Kinachosababisha vimondo vishuke duniani ni muingiliano wa mzunguko wa kimondo karibu na dunia yetu hivyo kutokana na udogo wake huvutwa kwa nguvu kuelekea uso wa dunia na kutokana na spidi kubwa vinayotembea 20,000m/s vimondo vya mawe vyenye size ndogo husuguana na hewa kwa nguvu na hivyo huungua, kuwaka na hatimaye kwisha kabisa kabla havijafika ardhini,lakini vimondo vya chuma vyenyewe huvumilia joto la msuguano wa hewa hivyo huungua surface yake ya nje na kiasi kikubwa ubaki na kufanikiwa kudondoka kwenye uso wa dunia.
Kaka nisome kwa makini sana nitajaribu kuelezea kwa kutumia kiswahili japo nitachanganya na maneno ya kingereza kwani hata kama hivi vimondo vina majina ya kiswahili yatatuchanganya.....
Kwenye SPACE kuna nyota nyingi sana na zile sayari zinazojulikana, nyota zipo kubwa na ndogo na kuna nyota kubwa kuliko hata ukubwa wa hii dunia. Baadhi yake zimeundwa kwa mawe, namaanisha sakafu ya hizi nyota ni mawe na baadhi yake hizi nyota na sayari zina volcanic activity ambazo zipo active au zilishawahi kuwa active.
Kuna kitu kinaitwa METEOROID hili ni jiwe dogo linalosafiri kwenye Space, space ni nje ya dunia huko kwenye nyota na sayari zinapoelea,
Kuna mawe mengine yanaitwa asteroids, ni kitu kile kila kama meteoroid ila asteroid ni kubwa kidogo zaidi ya meteoroid, kuna jamii nyingine inaitwa comets.."icy dirty ball" hii comets ina mchanganyiko wa mawe,water ice na mchanganyiko wa baadhi ya gesi kama methane cabondioxide,monoxide.
Kaka sasa hii comet wakati inasafiri ikipita pembeni ya jua zile gesi zinayeyusha na ukali wa joto la jua na linatengeneza kitu kama tail. Unaweza ukaona nyota imepita kwa speed na mkia mrefu ...
Turudi kwenye Meteoroid, yenyewe nayo inasafiri kwa speed kali sana inaweza ikazidi 72,000km/h. Sasa kuna kitu hapa kinaitwa aerodynamic heating-is heating of an object produced by its high-speed passage through air, yani speed yake kali tu inakisababisha kipate moto kiungue na wewe unaona kama moto umepita angani fasta.
. Kaka nadhani umenipata kidogo .
Nisiendelee sana sitaki nikuchanganye.
Hayo mengine ni kudanganyana tu ila hii ndio concept.
Buk7 wamelichafua jamvi. Hata kwenye mada elimishi wao huweka ushindani na mizaha.
Watawala hawana budi kulirejesha mahala pake.
Vitabu gani? Waandishi wengi walikuwa wanabuni.
Bila ukweli wowote.
Ila ukitaka kuamini jiwe au kuabudi jua unadhani tutakukataza?
Mkuu imani ya dini kwako imekaa kushoto na mm imani ya wana science vilevile imekaa kushoto maana wanascience walishahi kuja na mada zao binaadamu alikuwa sokwe, washawahi kukisia mwisho wa dunia na mpaka leo dunia ipo na mashuleni tunamezeshwa mtu alikuwa sokwe so tusijaze uzi hata nikwambia vitabu gani still hautoamini mkuu over!!