Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna pema kwa stahili hiyo, hao wanapigwa moja kuuubwaaWALAZWE PEMA PEPONI
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana nasema hiyo siku nikitoka kanisani ni nyumbani moja kwa moja!
Ahsante sana ndugu, huwa unapotea sana kama shilingi.
Asubutuuu nani atakubali nataka kucheza kwaito mieNdo maana nasema hiyo siku nikitoka kanisani ni nyumbani moja kwa moja!
Aiseeee, hutaki stili picha na mnato.Ndo maana nasema hiyo siku nikitoka kanisani ni nyumbani moja kwa moja!
Hapana jamanii!!Aiseeee, hutaki stili picha na mnato.
Basi ni vyema sana una maono, lazima tutumie kilichopo kwa kuwa kuna maisha baada ya ndoa.Hapana jamanii!!
Hakika!!Basi ni vyema sana una maono, lazima tutumie kilichopo kwa kuwa kuna maisha baada ya ndoa.
Amina, huko vizuri sana👏👏👏👏 show off hazima maana kwenye maisha lazima tuwe realistic most of timesHakika!!
Baada ya ndoa kinachojengwa ni familia! Hizo hela za kufanya sherehe zitumike kwenye malezi/elimu ya watoto!
Mimi naonaga ni kufuata mkumbo tuu!Amina, huko vizuri sana[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] show off hazima maana kwenye maisha lazima tuwe realistic most of times