Kimwana JOTI anapendeza na kuwakawaka

Huyu sasa karibia wanaume tutampenda kweli ohoooo
 
wanaume mna mambo kweli nyie, kwa hiyo mnamtamani Joti?
 
Cha msingi si ana demu na demu wake anajulikana? Basi haina shida.
 
Nje ya lazi kuendeleza haya ni kumkashifu sasa, tuwe na heshima kidogo jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…