Nyie akina Dada nomba mnijibu swali langu kama siwewe mwenzako nanitabia mnayoooo!!!agh!!
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty:
Nyie akina Dada nomba mnijibu swali langu kama siwewe mwenzako nanitabia mnayoooo!!!agh!!
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty:
Nyie akina Dada nomba mnijibu swali langu kama siwewe mwenzako nanitabia mnayoooo!!!agh!!
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty:
Nyie akina Dada nomba mnijibu swali langu kama siwewe mwenzako nanitabia mnayoooo!!!agh!!
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty:
...Tuliza mzuka FL1, haya mambo kweli yapo mi nimekutana na hiyo just 2 weeks ago. nime-date na binti hiyo ni baada ya mara kwanza kumtangazia nia yangu. alikuja land mark hotel pale na wasichana wengine wawili akadai mmoja ni rafiki yake sana na mwingine ni mdogo wake wanaefatana katika kuzaliwa eti alitaka aje amuone shemejie mtarajiwa. na bahati nzuri wote ni wadada wanaomeza kinywaji vizuri tu. The following day nilimueleza sikufurahia ujio wake na wale wenzake ukizingatia ndio kwanza tunaanza urafiki..Of course si wanawake wote, ila wengi hako katabia kapo sana!!???sijui ni aina gani ya wanawake uliokutana nao wewe..
Rekebisha kauli yako si wanawake wote wako kama unavyodhani:argue: