Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

nilikumiso aisee, nilizani invizibo amefanya vitu vyake lakini baada kuulizia nikaambiwa uko salama nikajiskia nimeongezeka weight ghafla! karib tena bht a.k.a Miss Jukwaa la mahusiano na mapenzi

misd u too my crazy bro!!! lol!!! aaaah invizibo atanifanya mimi mie mwananchi mtiifu kwa sheria za sirikali yake!!??

hapo kwenye buluu nina shaka na majaji waliohusika.......
 
Hebu mnisaidie wajameni, huyu binti Egyps-women mbona kama? I mean sijui nisemeje manake kama mgeni sio mgeni au mi ndo nimekuwa mgeni uenyejini? Hebu do ze nidiful Egyps (off topi)

Kaizer EW huyu unayemdhani yuko JF tangu 2006 kama msomaji ...jukwaa la mapenzi na mapendo,siasa na Jamii intel.
Feb aliamua kuwa mwanachama hai JF is any big deal between mwite invisible aje kukutegulia fumbo.
Tuko pamoja sana .
 
ha ha ha!
li-sredi linakimbia kweli

LAKINI ACHENI KU-FOSI FOSI MAMBO NINYI WAKINA-DADA...!

tena wengi wao huwa wanaamini kuwa SEX PEKEE,na MIMBA ndio kinga za wao kuolewa....!watu watawamega na kuwaacha
 
ha ha ha!
li-sredi linakimbia kweli

LAKINI ACHENI KU-FOSI FOSI MAMBO NINYI WAKINA-DADA...!

tena wengi wao huwa wanaamini kuwa SEX PEKEE,na MIMBA ndio kinga za wao kuolewa....!watu watawamega na kuwaacha

kwani tenses hukusoma wewe mpwaz??

sema 'wantumega na kutuacha vile vile'.....
 
misd u too my crazy bro!!! lol!!! aaaah invizibo atanifanya mimi mie mwananchi mtiifu kwa sheria za sirikali yake!!??

hapo kwenye buluu nina shaka na majaji waliohusika.......

hapo kwenye buluu usiwe na shaka ,tumetumia majaji wa AMERICAN IDOL, hakuibiwa mtu kura
 
Too sad! Ila kusema kweli sisi akina dada tukishapenda tunakua vipofu. Binafsi yamenikuta mengi.
Somo nililolipata katika maisha ni kwamba. Swala la mapenzi halihitaji ushauri!!
Mapenzi ni maamuzi. na ushauri unahitajika kabla ya maamuzi!!
 
ha ha ha!
li-sredi linakimbia kweli

LAKINI ACHENI KU-FOSI FOSI MAMBO NINYI WAKINA-DADA...!

tena wengi wao huwa wanaamini kuwa SEX PEKEE,na MIMBA ndio kinga za wao kuolewa....!watu watawamega na kuwaacha


Nasikitika sana kina dada hatuelewi kina kaka hawategeki..wanafanya maamuzi yao kamili wakiwa wamedhamilia ..Na nyie wanaume mmekuwaje mbona mnakuwa wagumu kutangaza nia?mpaka mtegeshewe....Naona huyu dada alikuwa anampenda jamaa kutoka moyoni ..akili yake ikamtuma kufanya hayo madudu akiamini atafanikiwa kumshawishi jamaa mambo yakawa sivyo ndivyo:biggrin1:
 
kwani tenses hukusoma wewe mpwaz??

sema 'wantumega na kutuacha vile vile'.....
say it again please!LOUDLY AND CLEAR......!

:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!nasikia mzee upo burundi
 
kwani tenses hukusoma wewe mpwaz??

sema 'wantumega na kutuacha vile vile'.....

Shost umekuja kimya kimya zamani walikuwa wanaleta peremende ..au senene .. umekuja na nini??
 
siku hizi wanaume TUMEPANDA BEI!...kuna ka-binti kamoja huwa napiga nao infidelity kanasema kako tayari kuwa ka-mke ka tatu,ilimradi tu NITANGAZE NIA:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 

Ila wewe!!! u r very unique.I like very much your character,zimekaa ki-YESU YESU.hujakimbilia kuhukumu kama sie wengine.Unaloongea ni ukweli,kuwa kuna waliofanya mistakes za ajabu kwenye mapenzi kushinda huyo dada.
ANYWAY,mistake zinawatokea watu ili wengine tujifunze.
 
siku hizi wanaume TUMEPANDA BEI!...kuna ka-binti kamoja huwa napiga nao infidelity kanasema kako tayari kuwa ka-mke ka tatu,ilimradi tu NITANGAZE NIA:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

hahahahah you must be kiddin' Teamo
tetetetete angalau umenisaidia kupunguza stresssssssssssssssssssssssss za leo 😛eace:
 
say it again please!LOUDLY AND CLEAR......!

:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!nasikia mzee upo burundi

I have said yes!!!! kwani nini bana si ndo ukweli wenyewe??

Shost umekuja kimya kimya zamani walikuwa wanaleta peremende ..au senene .. umekuja na nini??

nimekuletea ngubiti lakini Preta alisema sio nzuri kwa afya ya meno lol!!!
 
Too sad! Ila kusema kweli sisi akina dada tukishapenda tunakua vipofu. Binafsi yamenikuta mengi.
Somo nililolipata katika maisha ni kwamba. Swala la mapenzi halihitaji ushauri!!
Mapenzi ni maamuzi. na ushauri unahitajika kabla ya maamuzi!!

He Vivian nini tena binti ...mie nina relatioship laboratory njoo mama tusaidiane
 
Ingekuwa Kaizer, Teamo,Xpin,Fidel ,Swahilian ,Mfamaji, mwanakijiji ,Askof na wengineo wengi mko katika hilistuation ya hilo goma mngechua hatua gani? from bottom of ur heart:A S-rose:

Sisi hatuna Infidelity... (labda hao wenye ma-experience watajibu)

Huyu dada alisukumwa na mapenzi makubwa aliyokuwa nayo kwa huyo kijana kufanya hivyo alivyofanya..., hakutaka kumkosa lakini akujua alikaba sana mpaka ikaponyoka... Makosa yapo, kosa la kwanza lilikuwa kushika mimba bila idhini ya mwanaume (na inaonekana hakujiandaa kuwa singo madha), kosa lingine ni kung'ang'ania maana kijana ameonyesha hana mapenzi kwa binti na atamuharibia tu maisha. Cha msingi yeye anyanyuke hapo alipoanguka, ajipanguse na aendelee na maisha... Huyo mtoto anamuhitaji sasa more then ever... kosa kubwa litakuwa kurudia kosa.
 

wakati mwingine sio mapenzi/upendo bwana, wengine wanasukumwa na kiherehere/kutamani ndoa, wakifikiri huku tunachimba dhahabu....sio wote wajishikishao wanajishikisha kwa mapenzi, wengine tamaa zao tu zinawaponza.
 
:dance:KamBEEP jamaa akisubiri kupigiwa. Jamaa nae hataki kupiga Loooh! Kazi kweli kweli.
 
wakati mwingine sio mapenzi/upendo bwana, wengine wanasukumwa na kiherehere/kutamani ndoa, wakifikiri huku tunachimba dhahabu....sio wote wajishikishao wanajishikisha kwa mapenzi, wengine tamaa zao tu zinawaponza.

Whatever the case... yeye bado ni mdogo sana, at least she has learned her lesson... amtunze mtoto wake na aendelee na maisha.
 
That trick worked in the past but not anymoe now...wangapi wanao watoto wao and yet walifikiria nio njia ya kumnasa mwanamume.......huyo dada kakosa kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…